Nipo sahihi. Ukisema Nyerere, Wasira au Warioba, Magufuli, Kagasheki, Slaa, Mbowe, Lowassa, na hao akina Chacha, Makoye yote hiyo ni kaskazini ya Tanganyika. Ukisema Mkapa, Nandonde, Ngonyani, Komba, Ndunguru au Nchimbi yote hiyo ni Kusini mwa Tanganyika. Hiyo ndiyo Jiografia ya Tanganyika! Note: Hiyo kaskazini ina kaskazini mashariki na magharibi hiyo ya magharibi inapakana na Uganda na ya mashariki inapakana na Kenya. Lakini kwa ujumla wake kote huko ni kaskazini! Likewise kusini kuna Kusini mashariki na kusini magharibi kama Mbeya, Iringa na Rukwa. Na ukweli ni kuwa si watu wote wa kaskazini ni UKAWA! Kama ndivyo basi sema Jina la Mgombea i.e Magufuli (Magufuli = Kasakazini = UKAWA)