Poleni sana wapendwa!! Mpaka hii Serikali ya CCM ing'oke Hapo October 2015, tutaendelea kuishi tu kwa majaliwa ya MOLA
yaani kuna wajinga wajinga humu wanaboa sana we huu msiba unaleta mambo ya CCM are you serious? Dreva wa Lori ni mzembe sana ukiachana na ishu pia ya tanroads maana Hata Dreva inabidi uwe makini sana ila nakubaliana na james mbatia malori yawe yanasafiri usiku maana mengi ni mabovu na kuharibika njiani ni kitu cha kawaida RIP kwa nguvu kazi iliyopotea
Tanroads wana lawama ndogo sana pale. Pamoja na shimo eneo lenyewe ni straight kwa zaidi ya kilometa moja na nusu. Akili ya kawaida inagoma kabisa kuwalaum TANROADS. Ukiangalia hadi Dereva wa Basi afe ujue jamaa wa Lorry alikuja line yake tena kwa ghafla, vinginevyo dereva ninavyowajua asingekubali uso kwa uso angeamua hata kulipindusha kuliko uso kwa uso. Naamini either dereva wa lorry alisinzia au alihama ghafla wakat wako jiran na basi. Mfano wake ni umbali kati ya Fire na Pale Magomeni, eneo liko clear hamna hata kona! Kwa wanaofaham wanaweza kufafanua kile nikisemacho. Ni lorry pale ndo tatizo. Bahati nzuri nimepita pale na nmeona hali ilivyo, shimo siyo sababu hasa!
Jamani, Mungu kwanini kawachukua vijana wadogo hawa ambao hata hawajafikia ndoto zao, kwanini asingechukua roho za mafisadi wa escrow hata 20 akawaacha hawa vijana waliokuwa wakielekea kutimiza ndoto zao. MUNGU awape uvumilivu familia za marehemu.