Mi nikupe pole tu ndugu yangu, na sijuh nikushauri nini? ila naomba niseme ushinde moyo wako . najua inauma sana na unaweza ukawa na maswali mengi yasiyo na majibu kwamba amekuonaje nk!! but ufike wakati na umshukuru mungu na usonge mbele hii ndio dunia . wanadamu waliowengi upenda kuumiza...
Aaah aah leo nimecheka sana sasa shauri wa kwanza usipende ku onja onja hizo nanii kwa maana hizo zipo za kila model lizika na ulichojaaliwa na m wenyezi mungu . kikubwahisia ziwe juu bas hata kam ni kibamia akiwa mtundu basi hata mzizi wa muhogo hauoni ndan na kwa style hii utakutana na...
my dear pole kwa yote naelewa jinsi unavyo jisikia but kwa hatua iliyofikia nisawa na mtu kusubilia ndenge stand ya basi za mbagala utachelewa safari yako na ndege haituihapo kwan so wee piga moyo konde endelea na safari yako hata kwa kuunga unga mabasi utafika pia endelea na kazi yako...
My dear hoja yako ni mzito sana na inaitaji umakin katika kuichanganua ni sahihi kwamba maisha ya leo si km ya mama zetu n bibi zetu walioishi ya kutegemea waume zao na ht hali ya maisha iliruhusu kwa kipindi hicho but kwa hali hii ya maisha yetu bila kukimbi kimbia huku na kule mke au...
aaah aaah hakuna kitu sio wote bwana kwan wengine vimeo ningeweza kuutangazia umma hao watu jaman mwe bora uende mby hata mitalimbo yenye mcha ipo, mwe kwa wajeuri kabira hilo sijawah kuona na kujisikia sasa utadhan watu basi ni wamejaa misifa tu anaweza kukutokea na haditrhi za samaki tu mh...
Jamani ! haya mambo msiyachukulie juu juu sana kwan mini napenda kujiuliza wakati unamtokea ulitumwa au ? na kama ilikua ni hiyari yako sas nini kinakubadilisha nia na ghafra kuanza kutafuta sababu zinazofaa kuwaumiza watoto wa wenzenu ! . ushauri wa bure tujifunze kutofautisha love na like...
Wana jf nimatumain yangu mko wazima na M/mungu anazidi kuwatetea, Mm niliku busy kidogo na kukusanya mazao ndio nimepunzika wiki hii . sas naomba tumsaidie kumpa ushauri rafiki yangu mmoja ambaye yey anamahusiano na mume wa mtu sas ni takribani miaka 8 ila katika kipindi chote hicho...
kiukweli umenigusa sana kwan kuna watu wengi wenye hizo tabia za unyanyasaji wezao ila vumilia ni mjinga tu anataka umbembeleze ili muda wa mambo ukifika akutoe bukali mjinga tu km nanjua huyo! ni kabila gani ? ila ushauri wa bure ebu jifanye unatuma ujumbe mfufu unaonyesha umefanikiwa issue...
sawa kabisa ulichosema nitakizingatia uzuri na yeye mhhh!! hana haraka na mm mzee mwenzie bs najione sawa kwan miaka mitatu bila hao watu nilimudu leo hii nni kinivuruge zaidi nazidi kumuomba mungu tu yeye ndiye anajua jinsi tulivyo kuhusu pesa za bamia zangu hapana yeye yuko safi...
Uwazavyo ni sahihi na ushauri ni mzuri kabisa na nitaufanyia kazi ila kuhusu yeye finacialy , bado siwezi kumpata hata soko langu la babia na nyanya chungu lingekua kubwa vipi. Na huyu si wale wanaovizia visent vya wenzao na yeye ni mtumish wa serikali huru miaka kwa miaka any wei wacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.