Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini,
Mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia simu hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofisini kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae.
Sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahisi ntaonekana sijatulia hasa kwa wazazi wangu.
Huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda Arusha kumuuona yeye by that time alikuwa anafanya masters yake pale Nelson Mandela.
Kwa sasa kamaliza yupo Dar sina mawasiliano nae anachofanya sijui na hata ikitokea nimepiga simu akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana.
Jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lakini sjui ni shetani gani kampata.
Naombeni ushauri wenu jamani.
don't let the new ID FOOL you Miss or whoever you are,mi ni born here-here friend...na katika hilo nililosema,kumekuwa na ka-trend ka machalii wanaleta zile habari za kwenye yale magazeti niliyoyataja ambayo huwa na kisegment I guess cha maanti sijui SUZY sijui anti Calorine wanaotoa ushauri wa maswali ya kizembe kama hayo ambayo yamevamia JF,mfano wa hayo maswali yaliyovamia JF;
1.U.me wangu mkubwa unanitesa,warembo wananikimbia sijui nifanye nini
2.Wake za watu wananipenda nifanyeje hii hali isiendelee
3.Boyfriend wangu sijui hapendi niishike simu yake blaa blaa blaa.....
n.k...
m
Lazima kila kitu uchangie, magazeti ya udaku kwa taarifa yako yanauzika na wanaosoma wana akili kuliko zako. Usituletee gozi gozi hapa. Kama huna cha kuchangia kula kona. Kuzaliwa kwako hakutuhusu hata kama ungekuwa FOUNDER wa hii JF bado hayatuhusu.
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini,
Mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia simu hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofisini kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae.
Sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahisi ntaonekana sijatulia hasa kwa wazazi wangu.
Huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda Arusha kumuuona yeye by that time alikuwa anafanya masters yake pale Nelson Mandela.
Kwa sasa kamaliza yupo Dar sina mawasiliano nae anachofanya sijui na hata ikitokea nimepiga simu akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana.
Jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lakini sjui ni shetani gani kampata.
Naombeni ushauri wenu jamani.
umeona eeeh.....unatambalisha mwanaume hadi ofsini? walimuuliza au?Mi ndo mambo ya uchumba wa mujini mahari haijapelekwa, unamtambulisha kila mahala sitaki!!!! Watamjua siku ya harusi! Baaaaaaaaaaass!
unaonekana una kiranga mtoto wa kike,na mijitu kama nyie huwa haiolewi na kama umeolewa mumeo lazima ana nyumba ndogo nje...
mwanamke mwenye kiherehere kama chako ni nuksi katika nyumba...wewe kilichokuchonyota kukurupukia post yangu ni nini??? eti gozi gozi...pheeew!! mind your fcuken biz little w.ole,hizi ni anga mingine kbs putta!!