Je nimueleweje?

Je nimueleweje?

mi ni " me "

Si unaona sasa? Watu wameanza kuchangia thread yako bila kujua jinsia yako. Sasa mkuu samahani kidogo, unaposema rafiki yako wa kiume mnapendana sana unakuwa umemaanisha nini hasa?
 
labda kweli, ila ajabu ikifika jioni hajapata sms ya kutoka kwangu anadai "mbona umenichunia leo rafiki yangu?' nashindwa kumwelewa make yeye ndo aloweka masharti.

Mbona mnafanya vitu kama watoto wa primary besti?
Mestaajabu aisee!!!
 
ukiwa na shelfu iliyojaa vitabu na ukapata kitabu kingine kipya ukahitaji kukihifadhi kwenye hiyo shelfu inabidi utoe kitabu kimoja kati ya vilivyopo ndiyo kingine kipate nafasi:>>>Mrisho Mpoto

angalia usiwe kitabu kilichoondolewa kwenye shelfu kupisha kingine kihifadhiwe!
 
Inategemea unaivyoitumia simu yako dada. Mi wangu ananipigia mara nyingi mpaka inakuwa kero. Yaani hanipi hata dakika moja ya kummis yaani as if kila wakati kanisimamia hapa mgongoni. Nisipopokea labda nipo kwa meeting nakuta hata missed call 30, sasa ndio nini? Ukiuliza hana hata shida yoyote. Nimemwambia mpaka nimechoka nimemuacha afanye atakavyo.
 
Hiyo kweli, maana ukimjali mtu anaona unajikomba kwake.

mimi huwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali ktk daladala zetu hapa town,kuna moja nadhani ya mwenge k/koo kama sijakosea ilikua imeandikwa hivi""ni nini sasa km sio shobo?""kuna pwenti hapo unaweza kujizolea bwerere
 
...Elewa kwamba hakupendi ukimpenda mupenzi hutakiwi kuweka masharti ya aina yoyote ile katika mawasiliano yenu...STUKA!! chukua hatua.


Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tunapendana sana, ila ana ana manbo ambayo simuelewe ndugu yenu. Mkitofautiana tu kidogo kwa hali ya ubinadamu, ukimpigia simu hapokei, ukimtumia sms hajibu anakaa kimya. Sasa ajabu ameniwekea masharti ya kuwasiliana naye nayo ni sms kwa siku basi. Nimueleweje?
 
Last edited by a moderator:
Mh kiloleni umenishtua, kweli Dume mwenzio ndio anakupa presha hivi? Si bure kuna jambo la ajabu hapa. Wanaume tunasaidiana kiroho safi, salamu iwe mara moja hata siku ikipita unajua yupo bzy ama kashikwa na side B.

Sasa hii ya kwenu aghrrrrrrrr.
 
kiukweli umenigusa sana kwan kuna watu wengi wenye hizo tabia za unyanyasaji wezao ila vumilia ni mjinga tu anataka umbembeleze ili muda wa mambo ukifika akutoe bukali mjinga tu km nanjua huyo! ni kabila gani ? ila ushauri wa bure ebu jifanye unatuma ujumbe mfufu unaonyesha umefanikiwa issue yako na unatakiwa kwenda nje ya nchi nk ila uwe km unawasiliana na mtu mwingine hata kwa kujifanya ni mtu wa muhimu mf sema hiv sawa baba ndio nimetoka hapa ubaroz sasa naelekea bank kwa ajili ya ule mzigo ntawah kurudi hm baba uta,sikia naona sms yako mala tuonane ilimradi akuvurugie ratiba yako ni vibaka tu hata angekua anafanya kz wapi a ana umri gan ni stress tupu pole
 
Nina rafiki yangu wa kiume ambaye tunapendana sana, ila ana ana manbo ambayo simuelewe ndugu yenu. Mkitofautiana tu kidogo kwa hali ya ubinadamu, ukimpigia simu hapokei, ukimtumia sms hajibu anakaa kimya. Sasa ajabu ameniwekea masharti ya kuwasiliana naye nayo ni sms kwa siku basi. Nimueleweje?

m4wadie zle sms za kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom