Wanawake bwana sijui wapoje,ukiwa boya watakuendesha miaka buku,, mimi kuna demu nilikuwa nae kwnye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja,baada ya hapo hatukuonana kama miezi 3 hivi kwa kuwa nilienda kikazi mkoa fulani,,aada ya hapo akaanza kuniletea maringo kibao, nyodo kibao,, siku naamka nakuta...