Nimeamua, sihongi tena

Nimeamua, sihongi tena

salaam wana jf,

Mwenzenu sasa nimeamua kufunga mlango na dirisha la tabia ya kuhonga honga kwa namna yoyote kwani nimegundua hii tabia inarudisha nyumba maendeleo yangu sana,

yaani mwanamke ambaye hayupo kwenye familia yangu basi hata aje na style gani yakuniomba pesa, sitoi hata cent, maana kuna baadhi ya wanatumia mwanya huu kunimaliza sana,
Hahaaaaa hapa kazi tu
 
Inategemea unahonga kwa kiasi gani na kwa nia gani!!
Kwa Mtu anayejielewa na anayejua maisha ni nini, Kuhonga Si tatizo.

Tatizo ni mtazamo, Kuna wengine wanachukulia kuhonga kama starehe, Yaani ni kama anavyotoa pesa kuagiza nyama choma na bia.

Watu wanahonga ili wapate starehe, Na starehe lazima ugharamie. Unaweza ukajizuia kuhonga maisha yako yote na ukashindwa kujenga hata kibanda,

Muhimu ni kujitambua mini unafanya,na ufanyeje ili update furaha na maendeleo kwa pamoja.

Lakini unaposema unaacha kuhonga huku ukiwa unaendelea kufanya starehe kama ulevi,uvutaji nk.

Huko in kutokujitambua.
 
kuhonga ni kipaji mkuu kama siyo kipaji chako utakufa mapema tu bora uachane na hiyo tabia
 
yaani nimepigwa sana , sasa sitaki tena labda niwapige wao , na hii itakuwa zamu yao sasa
Sab leo umenivunja mbavu zanguuuuu daaah! Umetisha mkuu. Nimefurahi saana na ni wazo zuri mno kwakua umejitambua.... Maisha haya ni ya kuwahi kabla hujawahiwa mkuu, na ukishawahi kula kona uishi kama digidigi, leo kichaka hiki kesho kile, potelea mbali... Hamna sifa njema ya kuhonga, watakusema ni bahili ila ujue hayo ni maneno ya kuumia tu,.. K ziko kibao hata ukiamua kukopa siku zote za maisha yako, kila siku utakopa jipya mpaka unakufa, na hao waliokupiga Mungu anawaona
 
Kuhonga sio vibaya ...ila honga kiakili...ukishindwa....kabisa...chukua mademu wabovu (local girls) hawa ukiwapa vocha ushamaliza
 
Hakuna tofauti hapo, na zaidi nikwamba na wao siku hizi wana mbinu za kila aina unaweza fikiri unatoa pesa tu kama unavyo sema kumbe unahonga bila kujijua, hii kitu ndio siitaki tena

Wakati mweingine pesa inakuja kwako kama channel tu, ila inakoelekea. Umejaaliwa kuteuliwa kupitishia pesa kwako ili ziwafikie wengine. hivyo toa tu hiyo pesa wadad wafurahi...
 
heri na mafanikio tele katika jitihada zako za kujizuia kuhonga mkuu
 
  • Thanks
Reactions: sab
utakuwa unawapata wanaojipendekeza kwako mkuu, lakini siyo wale unaowataka wewe.
yaani mkuu nimekutana na wanawake wanajua kutongoza hatari yaani wanavituko hatari ndo maana wananipa papuchi na hela hawaniombi sijui kwakuwa wanakazi zao
 
  • Thanks
Reactions: sab
Back
Top Bottom