binti wa kirombo
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 847
- 965
Kijana pole sana....mie yamenikuta hayo.niliumia sana tena sana....ila nikaamua kumtumbua jipu tu hamna namna.....ila kikubwa nilivyoona haeleweki nikaamua kumuwekea vikwazo vya kiuchumi...........muacha pasipo mjulisha mwanaume hamwaachi binti kwa maneno magumu.ila usiwe wa kukupeleka peleka ukamrudia....Mungu atakupa mwema,mpole na mwenye mapenzi ya dhati kwako......MUACHE AENDE ATAKUKUMBUKA SANA atapotekwa na vijana wa mwendokasi
pole kumbe tupo wengi tunaougulia maumivu...poleni..ipo siku maumivu yetu yatakwisha na tutasahau kabisa,,,hakika tujifunze kumuacha aende...
