Recent content by twalwa

  1. T

    Nyota ya Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu yang'ara

    Hongera zake naona nyota njema upande wake
  2. T

    Miraj Kikwete: Mimi na dada yangu Salama hatumiliki Kampuni ya Simba trust

    Duh kiukweli hii ni kashfa kubwa sana kwa familia ya rais na akiwa kama mkuu wa nchi najua ana wasaidizi ambao wanatakiwa wakanushe hii habari na kuchukua hatua stahiki lakini kumuachia Miraji tu akanushe haitoshi vinginevyo issue hii itaacha maswali mengi yasiyo na majibu kifupi kuna walakini hapa
  3. T

    Baada ya Kagame, JK alikoroga na waEthiopia

    Mi nadhani argument zote ni sawa kabisa hapa ila watu mnatofautiana kimawazo sema mtoa mada ameshindwa kuweka point sawa na ameshindwa kuelezea kinachoendelea ndani ya mkataba wa mto Nile! Chini ya mikataba ya mwaka 1929 na 1959 asilimia 90 ya maji ya mto Nile yametengwa kwa ajili ya Misri. Na...
  4. T

    Zilipendwa(Wimbo niupendao)

    hata mi naomba nifahamishe huo wimbo unaitwaje na umeimbwa na bendi hipi
  5. T

    Membe,ulifikiri kabla ya kusema?

    Sheria ipi weka hapa tuione
  6. T

    Membe,ulifikiri kabla ya kusema?

    Kwani chama kikimtangaza mtu wake wanayetegemea atagombania uraisi kabla ya muda wa uchaguzi ambao utatangazwa na Tume kuna kosa gani hapo? Chama kumtangaza mtu wake kuna taratibu zake ambazo sidhani kama zinaingiliana na taratibu za tume ya uchaguzi ambazo zinazuia tu mtu kuanza kampeni kabla...
  7. T

    Dr Kitila aliyatabiri haya; Uchaguzi mdogo janga CHADEMA

    Kwani huu utafiti aliufanya baada ya kupigwa chini CDM au? Tatizo la umasikini ni utawala mbovu na watawala ni kina nani? hapo nadhani ndo pa kuanzia
  8. T

    Mwigulu: Ni ajabu Tanzania kuwa nchi masikini

    Acha kushabikia ujinga anasema ukweli hupi?? na wala usidhani kila anyeingia humu hana kazi ya kufanya...kila mtu ana shughuli yake humu walioshindwa kazi ni hao ambao wanakula kodi zetu na kushindwa kuiondoa nchi katika umaskini huu wamekalia kuchonga midomo tu
  9. T

    Government Ban Job Recruitment Agencies!

    Waziri wa Kazi na Ajira Bi.Gaudentia Kabaka akitoa tamko la Serikali kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala binafsi wa huduma za ajira wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa idara ya...
  10. T

    Mwakyembe: Mwanasheria anayebaka sheria kusudi

    Dah kweli mkuu ukiangalia kwa umakini hoja zake hazina mashiko!:A S 103:
  11. T

    Lipumba ahofia deni la taifa

    “Serikali imekuwa inakopa kutoka masoko ya biashara kwa gharama kubwa na deni la taifa linaongezeka kwa kasi. Deni la taifa limeongezeka kutoka Sh5.9 trilioni mwaka 2007 sawa na asilimia 28.4 ya pato la taifa,” alisema Profesa Lipumba na kuongeza: “Jambo hilo limesababisha kufikia Sh22 trilioni...
  12. T

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Sasa hapa sielewi ina maana uanachama Zitto alishavuliwa tayari basi kuna maana gani akaitwa mbele ya CC kujitetea hapa kama hainingii akilini hivi? Demokrasia hiko wapi kwa style hii kwa chama ambacho tulikitegemea kuja kufanya mageuzi kumbe na wao ni walewale!
  13. T

    Kinachoendelea mitaani kwa ajili ya kumpa support ZZK leo pale H.C

    Tindo umeongea la msingi sana na wala c kupanic
Back
Top Bottom