Ushauri ulompa mbona mzuri tu aende akawaeleweshe wazazi hizi sio zama zakutafutiana mke tena atafute na baadhi ya ndugu wamsaidie najua wapo walioelimika watamsaidia na wazazi watamuelewa . ila tanga napo raha yale makanjumani ya kitandani mmh
Duh ndugu unakauli mbaya aiseee kumbuka haya ni mapito tu na wala hakuna mtu anaomba yamkute ila ni kikombe tu kila mmoja inabidi akinywe leo kwake kesho kwako hatakama sio kwa eneo la ajira utapita kwa shida nyingine ndugu jifunze kuongea kauli nzuri hasa kwa mtu mwenye shida...
Deprety utakua umefanya la maana sana hata no za simu chukua uje weka hapa watu wajaribu bahati jamani na Mungu atakubariki maana huo ndio uzalendo mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.