Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

Duuuh....
Mkuu ilo swali ndilo swali la kwanza kuulizwa interview yoyote ile.kiufup..mantiki ya swali hilo ni kutaka kukufahamu zaid(unasumarize ile cv yako) kwa ufup sana..huku ukitoa hints ambazo unahisi zitakuweka kwenye nafasi nzuri ya kupita.
Kumbuka,kila interview ina hints zake kutegemea na aina ya kaz iliyopo mbele yako.

Thanks mkuu, nimekufaham!
 
My name is kingunge ngombale mwilu,i came from lindi,i am here for the job interview of kumnadi lowassa,my credentials are.......
Thank you.
 
Wambie kila nafasi ya kazi ina aina tofauti ya mshahara kulingana na sifa za mwajiriwa.Ninapendekeza nilipwe kulingana na scale ya kazi niliyoomba,siyo haki nipendekeze kulipwa tofauti na scale ya kazi na sifa zangu binafsi maana mapendekezo yangu hayawezi kubadilisha scale ya kazi.Malengo yangu ni kuitumikia kampuni mshahara ni lengo langu la mwisho.Ukiona wanalazimisha utaje mshahara kamili ujue ni wasanii ktk kulipa,au hawajiamini
Ni kweli kabisa .
 
Taja kiwango unachotaka wewe kulingana na uwezo wako na kazi unayoomba. Usiogope, kutaja kiasi ni sehemu ya ujasiri.
 
Unapomaliza interview uwashukuru eg,: thanks for the fair interview and good afternoon/evening/night. Japo intreview yaweza kuwa sio fair. It makes royality

Hapa nimenote something new. Mimi huwa nasepa zangu without saying that kindly words. Hahahahaaaaaa.
 
Lazima ujuwe kwanza kwa field yako market imekaaje kwa mtu ambaye ni competent,middle level na beginner halafu ujihukumu mwenyewe uko kundi gani,, lazima kwenye interview yoyote duniani utaje nini unatakiwa kulipwa vinginevyo utakuwa hujiamini utendaji wakowako,, sidhani kwa mtu competent atashindwa kusema nini alipwe..
 
Habari wana jamvi!
Napenda mwenye ufahamu anisaidie jinsi ya kujibu swali la "Introduce yourself" kwan mara nying huonekan km common question kweny interview! Natanguliz shukran!

si unashuka jina lako, umri, na education background na job backround kama unayo
 
Hii mada imenisaidia sana. Imenifanya nijitune vzr ktk kujibu swali la kwanza ktk usaili wa mahojiano/general question "briefly tell us about yourself".
 
Jamani nina interview ya Afisa mahusiano soon hebu nisaidieni kidogo, nimejiandaa lakini bado . maana wameahirisha wanasema nijiandae siku yyte
 
Huu uzi umenifungua mambo mengi sana ambayo sikutegemea, hatimaye sasa napata majibu.JF the home of great thinkers.
 
Jamani nina interview ya Afisa mahusiano soon hebu nisaidieni kidogo, nimejiandaa lakini bado . maana wameahirisha wanasema nijiandae siku yyte

suala kubwa imarisha cofidance yako, utashinda tu.
 
Asante kwa muandaa mdahalo, ck nyngne tunaomba sample ya maswal ya interview na majibu yake jaman ili tuweze kusaidiana ktk ujibuj
 
Back
Top Bottom