Recent content by Tuwamoi

  1. T

    Chadema wafanya vurugu kwenye ofisi zao Shinyanga

    Tutajifunza mengi sana mwaka huu
  2. T

    "Traffic" Nunua gari yako upande

    Vijana kazi tunayo,ukishakuwa na gari lazima ujionyeshe tena kwa jinsia tofauti ndiyo inanoga:.......God forbide
  3. T

    Tanzania Law Report

    Naomba kwa anayefahamu decided case inayohusiana na haki za walemavu hapa nchini.Natanguliza shukurani
  4. T

    Mikongoraa ni nini? Na ina effect gani?

    Hiyo kitu inasafisha mishipa ya uzazi ususani ukiwa unatumbo linalonguruma au kitu kingne kinachoweza kupunguza nguvu za kiume,kimsingi haiongezi nguvu za kiume ila inasafisha hivyo vinavyofanya nguvu kupungua na kurudi kama zaman,kama ingekuwa na madhara basi wazazi wetu wangekuwa wameshayapata
  5. T

    TCRA mnafahamu utapeli huu mpya kutumia simu za mikononi?

    Pole sana ndg niwasaidie tu kuwa sheria ya kupambana na uhalifu wa mtandao ni muhimu ila haitakusaidia kama hatuna mfumo mzuri na wa kisasa wa kimtandao kudhibiti huo wizi.Pili elimu kwa umma ndiyo itakayotusaidia kuwa salama na wizi wa kimtandao,usiwe mwepesi kutoa fedha,password au account...
  6. T

    Hakika wanawake ni viumbe dhaifu!!!

    Mwanamke na mwanaume wote ni sawa na lazima tuwape fursa na nafasi sawa tena kwa kujali tofauti za kibaolojia zilizopo kati ya mwanaume na mwanamke.Mume atamheshimu mke wake vivyo hivyo kwa mke.Unayewadharau wanawake ukishawishiwa vizuri unaweza hata kuua albino cause tayari unatabia ya kuweka...
  7. T

    MSAADA: Jinsi ya kufuatilia mirathi ya MWANAJESHI aliyefia kazini

    Komaa na makao makuu ukiona wanasuasua muone mkuu wao utapewa tu
  8. T

    Inawezekana kupeleka BMK mahakamani kuhusiana na upigaji wa kura na utangazaji wa matokeo?

    Hata kama ukawa wangerudi wasingeruhusiwa kupiga kura,wangewauliza ''nyinyi hamuijui rasimu cz hamkushiriki kuitunga mtaipigiaje kura?hawa jamaa wajanja sana mm cio ukawa bt ninaamini cku moja hawa jamaa watatoka
  9. T

    Faida za kupitia JKT kwa wahitimu

    Nakubaliana na wewe mkuu,mimi pia naipinga hyo JKT haina tija wala sio chuo cha maadili kama wanavyofikiri,waliopitia huko zamani tena ndo ilikuwa JKT kweli wanatusumbua sana leo madarakani,watfute mbinu nyingine ya kuulazimisha uzalendo.Au ndo hawataki watu wakuwapa changamoto?
  10. T

    Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

    Nendeni mkadai mkopo,najua ugumu uliopo chuo hususani pale utakapokuwa umekosa mkopo,ila ucjidanganye kuwa police hawataweza kuwachapa,depo waliwadanganya kuwa police ni maraia?jaribuni kurusha ngumi mdhihirishe unanga wenu 3months?ucjidanganye
  11. T

    Ualimu Grade A 2014-2015

    ninaomba kujua kama wizara ya elimu imeshatoa majina ya wadogo zetu walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu Grade A mwezi may mwaka huu,
  12. T

    Naombeni tafsiri ya Ibara ya 25(3) (d) ya katiba ya mwaka,1977

    Nimekuwa mwenye bahati kujiunga na jamii forum,sasa kwa mara ya kwanza nimejionea kiongozi mkubwa mwenye PHD(siyo ya sheria)akitoa tafsiri iliyokosolewa kwa usahihi na watumishi wasiohold certificate zaidi ya ile ya kidato cha nne.Asante sana mkuu Dunia Tabu
  13. T

    Naombeni tafsiri ya Ibara ya 25(3) (d) ya katiba ya mwaka,1977

    ndugu Petro E.Mselekwa nashukuru sana,kwani ni mwezi April tu nilitoa ten for the same issue leo tena natakiwa nitoe tena,pia kuna nyingine tena inakuja that is for high schools in every ward
Back
Top Bottom