Umejiandaa mkuu ama ndio nguvu ya soda
wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa mume atamtawala mke......mke atatii.....mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕:d:d:d:d😱 Dah.... Poleni sana. Ila maadhimisho mema
1timotheo 2:12 simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
1Timotheo 2:12 -"Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya".
Wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu Nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa Mume atamtawala mke......Mke atatii.....Mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕😀😀😀😀😱 Dah.... poleni sana. Ila maadhimisho mema
1Timotheo 2:12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
Wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu Nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa Mume atamtawala mke......Mke atatii.....Mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕😀😀😀😀😱 Dah.... poleni sana. Ila maadhimisho mema
1Timotheo 2:12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
we hamnazo kweli? kama wa2 wote wangefikiri kama ww bac hata wanaume nao wana siku moja au haujui kama kuna father's day? na haya ni maadhimisho ya cku ya wanawake, acha umbulula
Not all men are fathers!
mungu yupi..Ata mungu alisema mwanamke ni dhaifu..