Suala la gdp 2023
Kwa africa nanba moja hadi kumi
1.Egypt gdp $395B
2.South Africa $377B
3.Nigeria $362
4.Algeria $239B
5.Ethiopia $162B
6.Morocco $141B
7.Sudan $109B
8.Kenya $107B
9.Angola $84B
10.Tanzania $79B
Nme note Ethiopia Wamepanda hadi sio vizuri sijajua wamefanya nn
Masikini ni mtu ambae hawezi kupata mahitaji ya msingi kama chakula,mavazi na malazi..
Kampeni iliopo duniani kwa sasa ni kupunguza masikini ila haimaanishi kuongeza matajiri kwa sababu kua tajiri sio hitaji la msingi la binadamu
Kama unasehemu ya kulala +unakula na kunywa+unapata mahitaji ya...
Mlisema tukiweza kujenga SGR tuwaonyeshe 1KM tu...badae tukiwaonyesha reli mkaanza kibadili mada kwamba vituo ni vibaya 😃😃😃😂
Hamkuishia hapo mkasema hatuwezi tumia treni za umeme leo wala kesho..sahv mnahangaika na speed?kwani ndio imeanza rasmi ama ni majaribio???Hili suala mmeshachemka kitambo...
Tz ni wanagenerate 1889MW ,Available 1200MW ,demand 1430MW...tunauhaba wa 230MW kwa sasa...ila tumeelekezwa kua Nyerere Hyro electric Dam itatuongezea 2115MW ...So kama kila kitu kitaenda sawa mwaka huu tunapindua meza...labda mtatuzidi kwenye matumizi sio uzalishaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.