Nyota wa Brazil Neymar jana alivunjika uti wa mgongo baada ya kugongana na mwenzake dakika tano kabla ya mechi na Colombia kuisha na Brazil kushinda bao mbili kwa moja.
Pia watamkosa beki Thiago Silva alielimwa kadi mbili za njano.Brazil itaivaa Ujerumani katika mechi ya nusu fainali...
Kama sijakosea neno udhu utumiwa na ndugu zetu waislamu,nimekuwa nikidadisi kujua maana halisi ya neno hilo bila mafanikio leo naomba wana JF mnifahamishe maana ya neno udhu katika uislam.
Naomba kujuzwa kuhusu ongezeko la asilimia 1 ya mrahaba wa madini unaolipwa na makampuni ya uchimbaji madini kwa serikali yetu ni sawa fedha kiasi gani?
Kuwepo kwa taarifa ya club ya TP Mazembe kuwazuia washambuliaji wawili stars.Mwagane Yeya wa Mbeya City hana tofauti na kina Samata.Tanzania inavipaji vingi .Hakuna sababu ya Taifa stars Kufungwa na Zimbabwe michuano ya Afcon.
Serikali ya ccm ni kipofu na haina uwezo wa kuleta maendeleo ya maana zaidi ya kukurupuka kufanya madudu kama kawaida yake.Watanzania ifike mahala tuone umuhimu wa kubadili mfumo mbovu wa uongozi wa serikali hii dharimu inayoongozwa na porojo za viongozi mafisadi wanafiki ,vigeugeu,waroho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.