Kukosekana kwa kina Samata ,Ulimwengu Afcon

Kukosekana kwa kina Samata ,Ulimwengu Afcon

Tus66

Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
14
Reaction score
1
Kuwepo kwa taarifa ya club ya TP Mazembe kuwazuia washambuliaji wawili stars.Mwagane Yeya wa Mbeya City hana tofauti na kina Samata.Tanzania inavipaji vingi .Hakuna sababu ya Taifa stars Kufungwa na Zimbabwe michuano ya Afcon.
 
Sasa wewe ndugu yangu umeandika nini hapa!!! mbona HEADING na maelezo yaliyopo humu ndani ni tofauti? na huyo mwigane yeya ni mchezaji wa timu gani hapa tz? au anacheza chandimu huko mtaani kwenu?
 
Back
Top Bottom