Recent content by TURTEKING

  1. TURTEKING

    Habari naomba kujua kuhusu m Koba

    Nenda voda shop utaelekezwa vzr na kitaalamu beba peni na karatasi
  2. TURTEKING

    Kwa Nini ndege na Njiwa wanamfata fata kila nyumba aendayo na Sasa amehamia kwake Bado TU wamemfata je Nini tiba?

    Kuna wanyama au ndege ni kama baraka tu kwenye maisha njiwa hana baya anaweza kuwaondoa akaondoa riziki zake zote awaache tu tena ikiwezakana aanze na kuwalisha
  3. TURTEKING

    Zitto Kabwe: Singh Seth kuendelea kudai kumiliki IPTL na kuisumbua Serikali na TANESCO ni utapeli wa wazi, anakiuka 'Plea Bargain'

    IPTL YENYEWE MNAIONA YA SASA IMEBAKI MAGOFU TU WATU WAMEIBA NA KUIBA KILA KINACHOFAA
  4. TURTEKING

    Wakuu poleni na majukumu, nimekutana na hasara kwenye hii biashara yangu ya kuonyesha mpira

    Angalizo :kama unatumia brand za kisasa kuoneshea mpira hakikisha TV zinapokaa hazihamishiki bandani ya unaposifunga au kuziweka ziwe hapo hapo na matumizi yawe kwa ajili ya mpira tu na sio kuziwasha washa chonga fremu kubwa kuzidi TV ziwe za kufunga na kufungua kama baadhi ya bar wanavyo fanya...
  5. TURTEKING

    PreGE2025 TANROADS yasaini mkataba wa Km 3.8 kwa Tsh Bilioni 54 na Wachina kujenga barabara ya Njia Nne Mbagala Rangi Tatu–Kongowe

    Njia 4 kiongozi piga 3 8 mara 4 bado madaraja vifusi vipya vya kuweka katka hizo barabara unajua kipande cha kutoka rangi 3 mpk kongowe ww mzee
  6. TURTEKING

    PreGE2025 No reform no elections yapuuzwa, mamilioni ya wananchi wa jiji la Dar es Salaam wajitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la kupiga kura

    70% wanao jiandikisha hawaendi kupiga kura wanakazi navyo zingine kabisa haswa maswala ya mikopo ya simu na pesa taslimu huku uswahili na kazi za hapa na pale
  7. TURTEKING

    Njia nzuri ya kumwambia mtu anaetoa harufu mbaya (kali) mdomoni na asikasirike

    We acha tu nilikosa kazi kisa harufu mbaya ya kinywa na jasho kali usafi muhimu jamani daahhh mimi kama dereva boss akiingia tu kwenye gari harufu hazihelewiki watu wengine hawawezi vumilia vitu kama hivyo nashukuru aliniambia ukweli ....
  8. TURTEKING

    Toyota IST vs Toyota Aqua katika biashara ya Taxi

    Aqua ikifa betri unajua bei gn service yake unaijua hayo magari bado sana kwa bongo hata mafundi wapo wachache na bei juu achukue tu ist aweke gesi mchezo imeisha kwenye uber bolt
  9. TURTEKING

    Boss wa Uber/bolt

    Kama una familia na bado mambo yako hayajakaa sawa achana na hiyo kazi kiongozi ni mateso makubwa ...kupelekea mtu hesabu ni jambo ngumu wengi wanaofanya kazi hizo vijana wa nyumbani wahawana majukumu au familia wengine ni kazi ya ziada tu au ni magari yao... kama utaamua kuchukua gari basi bora...
  10. TURTEKING

    Msaada wakuu nachanganyikiwa, nimekuta Mijusi wakubwa geto

    Hao ni Kenge bado wadogo wanakuwa zaidi ya hapo wanamadhara wanaweza kuua pia
  11. TURTEKING

    Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

    Nunua IST used kwa watu za m8 mpk m9 upate IST4 zilizonyooka ziingize kwenye uber kwa HESABU au MKATABA mpk unamaliza chuo utakuwa na kiasi kikubwa na unaweza kuja tena kuziuza hizo GARI zako baadae ya kumaliza chuo si chini ya m5 HESABU kwa wiki ni 150000 mpk 170000 kwa mwezi kwa GARI zote...
  12. TURTEKING

    I'm a Uber driver looking for someone to hire me

    Iyo laki inaweza ndio ikawa ubao wa siku yaan hela zote alizo beba siku nzima sasa hapo toa kamesheni ya bolt toa mafuta toa hesabu ya boss anachobaki nacho ndio chake
  13. TURTEKING

    I'm a Uber driver looking for someone to hire me

    Ni sawa kama gari ni la kwake na lina gesi ila kama anapeleka hesabu laki kwa siku kwa dereva tu hapana labda kama gari ni lake
  14. TURTEKING

    I'm a Uber driver looking for someone to hire me

    Ipo hivi kwanza kinachotokiwa kwa dereva ni kuwa amejiandikisha kwenye hizo huduma Pia kwa mwenye gari lazima awe na gari la biashara au anaweza kutumia hata private lkn kisheria hailuhisiwi ila watu wanatumia Kila mtu ana utaratibu wake na hesabu yake kulingana na gari lake au na anavyotaka...
Back
Top Bottom