Recent content by Turonge

  1. T

    Sheikh Ponda: Tamko lililotolewa na Sheikh Ramadhani si la jumuiya, ni lake mwenyewe

    Sisi Wazanzibari hatushangai na Masheghe wa aina hio hasa huko walikotoka.La kufurahisha ni yule shekh wa Waislamu kuliona na kusema kua hilo alilosema ni Lake mwenyewe.Maana hajielewi wala hajitambui pengine alishaahidiwa Pombe.
  2. T

    Kutoka Uamsho hadi kupinga uhalali wa Muungano mahakamani. Nani yuko nyuma yake na kwanini?

    Kama unataka kujuwa walionyuma ya wazanzibari waliokwenda mahakamani,bora washawishi hao wenzako waliokutuma kuweka mada hii wafanye kura ya maoni ndio mtajua walionyuma yao.Na unaposema ni vyema ukasema ukweli wapi ulipo nukuu taarifa za kwamba wazanzibari walitoa maoni yao kupitia...
  3. T

    Wanayofanyiwa watuhumiwa wa ugaidi Segerea

    Unauhakika kama ni waislamu au wanamajina ya kisslamu tu? Uwislamu kazi ndugu yangu.Muislamu hawezi kudhulumu mtu,hawezi kumfitini mtu,hawezi kumfanyia mtu yeyote baya na vyenginevyo hao ni wataka dunia tu.na dunia ni yenye kupita kama tunavyopita wanadamu.Mungu awe pamoja na wenye kudhulumiwa.
  4. T

    2016 US Election Results: Donald Trump has won the presidency

    Huyo Trump aliekua hataki waislamu wende marekani kwanza angewauliza wao wanamtaka? Pili wakafanye nini huko marekni na wapo katika nchi zao lakini na yeye asiende kwao.
  5. T

    Mume wangu anatoka kimapenzi na mama yangu, nimeona meseji za mapenzi kwenye simu ya mume wangu

    Pole sana ndugu yangu.Kwanza usikate shauri na kuamini kua sms ulizoziona kwenye simu ya mumewako zinatoka kwa mamako ijapokua ni simu yake.Yawezekan mtu mwengine kafanya hivyo ili akugombanishe na mamako na akutenganishe na mumeo. Yawezekana kabisa simu ya mama iliazimwa na mtu mwengine wa...
  6. T

    TANESCO wanaidai Zanzibar bilioni 106

    Kwa hio kuwa na dhamira chafu ya kutaka kukiangamiza hiki kisiwa ndio kuona mbali.Pole bora na wewe uwone karibu
  7. T

    CCM yasikitishwa, yaomba radhi kwa Bango lenye ujumbe wa Uchochezi Zanzibar

    Haya Kumekucha Watanzania wenzangu.Kwanza muombaji Radhi huenda ndie muandishi maana hakusema kua alobeba bango ni mwanachama wa ccm kasema mwananchi mmoja.Na huenda haijui zanzibar maana maneno kama haya ndio kisabeho kwenye bango la ccm kisonge,mbona hajawahi kuomba radhi.Pili CCM bara ni...
  8. T

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    njoo uwisilimue govi mkubwa wee
  9. T

    Samahani, hivi hii lugha ya kiarabu haiwezi kubadilishwa?

    Kwanza nikubali kua Biblia ni kitabu kitakatifu,lakini sio hizi Biblia ziliokua zinabadilishwa kila siku kulingana na matakwa ya waandishi hii haina utakatifu wowote na wanaoibadilisha ni mashetani.Na lugha yoyote duniani haiwezi kabadilishika ila inaweza kuongezwa maneno fulani yanayoipa ladha...
  10. T

    Unguja: Jambazi lauawa na Pingu mkononi

    Kama haungetaka auliwe asingekuja kuja zanzibar kuiba kwa kutumia silaha.Hata wewe kama unataka kufa njoo na silaha utamani kuiba.hapa hatuna hukumu nyengine ya muhalifu ila Kifo.Maana sisi hatumiliki silaha sasa yeye kaipata wapi na kwa kazi gani.
  11. T

    Kwanini Mbowe na Salum Mwalimu walitumia Vipaza sauti vyenye Rangi ya ACT huko Kigoma?

    Wapelekee vya kwako vya kijani kama hutaki watumia hivyo wanavyotumia.
  12. T

    Wabunge wajipanga kummaliza Maswi

    Kumbe ujinga unarithiwa au unanunuliwa.
  13. T

    Sakata la Mwingira kudaiwa kuzaa na mke wa mtu, Rais Kikwete aingilia kati

    Tangia lini mwnaume akae bila kuowa ati ni mchungaji matokeo yake hayo anapora wake za watu.na mkikosea shubiri atawabaka na hao watoto anaowahubiria.Huyu hana mahubiri zaidi ya kuchaguwa wari na wake za watu.Sasa pale alipolia katika maombi alilia kwa sababu yule dada mumewake karudi na...
  14. T

    Kama si udini na Uchadema ?ccm bye bye.

    kimbe unafahamu maeneo yenye waislamu wengi sasa hao kina mboe wenu na Slaa nao wamechaguliwa na nani kama si wakiristo wenzenu.Au YENU DU YA WENZENU MIDOMO JUU.
  15. T

    Watanzania tuna mapungufu gani mpaka inafikia kutengwa na jirani zetu?

    Mimi sikubaliani na wanaosema hatuna mapungufu katika kutengwa kwa Tanzania.mapungufu yapo mengi na lakwanza ni huruma zetu za Mamba kupenda jirani wasiotupenda hili ni kosa.Tanzania imegaramika sana kuikomboa Uganda watu wamekufa tukalipwa ahsante na Mwalimu Nyerere leo muoneni anatufanya...
Back
Top Bottom