Waberoya said:Nimesoma zile comment mkuu, in short, this is very bad for Chadema.
Chadema need to work on in this accustaions whether these accusations are true or not. sumu mbaya sana hii. sijawahi kuamini au kuona hata sikumoja kuwa chadema wana udini kama walivyoupamba hawa watu!
Waberoya,
..yaani unataka Chadema wakajiteteee kwa madai yanayotolewa na mzalendo.net?
..mzalendo.net pamejaa wabaguzi wa kidini na ki-Zanzibari. huwezi kupata haki pale kama siyo wa dini yao au Mzanzibari.
..hapo mzalendo.net hata uanachama hawaruhusu kama siyo Mzanzibari. hii ni sawa na ilivyokuwa Zanzinet.
NB:
..nakuomba upitie maoni ya wana mzalendo.net kuhusu ile sakata ya kiwanja kati ya Fatma Karume na Kanisa la Kianglikani.