Haya makundi yanayokuwa yameorodheshwa kama ya kigaidi mbona yana nguvu sana!!
Ina maana majeshi ya nchi husika huwa yako wapi kiasi nchi kuanguka!!
Nilianza kushangaa wakati Taliban anachukua nchi ndani ya mda mfupi!
Ina maana majeshi unakuta na wenyewe wamechoka na tawala zao ama!
Wakuu msiseme hivo mnanitia wasiwasi, kwa sasa niko Dom kikazi na yeye yuko mkoani na kurudi nyumbani ni baada ya siku 21 na leo ni siku ya 3, hapo vipi na mimi watapita naye wasela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.