Recent content by Turaone

  1. T

    JamiiForums Tanzania Hii ndio genocide ya kwanza duniani ambapo wahanga wanasaidia kuua wahanga wenzao

    Daaah hii haikubaliki aisee
  2. T

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Kabisa wakabisha chelsea katika fainal za makombe makubwa ni fainali moja tu 2008 uefa dhidi ya man u ndo ilishindwa kutwaa tena ilishindwa kwa penati kwahio chelsea ni mfupa mgumu kwelikweli ikifika hatua ya fainal
  3. T

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Kuna wadau tuliwambia Chelsea kwenye fainal hawatabiriki naona wameona ukweli ulipo
  4. T

    JamiiForums Tanzania Oyaa Chelsea Hatuchezi 😥

    Mwambie huyo na umwambie kuwa Chelsea ni miongoni mwa timu ambazo zikifika fainali huwa hazitabiliki arejee fainal ya mwaka 2012 pale ujeruman bayan ilikuwa moto sana lakin mwisho wa siku The blues wakanyanyua kwapa na ile ya 2021 man city ilikuwa hot mwishowe ikawaje na mwaka huu ilikuwaje...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Gemu sangap wataalamu
Back
Top Bottom