Oyaa Chelsea Hatuchezi 😥

Oyaa Chelsea Hatuchezi 😥

Vinicius wana muhype sana ila level zake ni akina Walcott, Lenon, Jumberg ni mchezaji machachali ila sio hatari.

Chelsea mjiandae tu wale jamaa wapo vizuri.
Vini tangu akose Ballon d'or amekuwa na kiwango cha kusuasua sana.
 
Acha kufananisha chelsea na vitu vya kijinga
Tunatunza kwa matumizi ya baadae!



GvdApcPXwAAVoum.jpeg
 
October tunaenda na Prof Samia kiongozi wa kasi na ubunifu.

Miradi mizito, Mafanikio ni kila kona: diplomasia, uchumi, kilimo, afya, na uwekezaji
huku sauti ya Tanzania ikisikika dunia nzima.

Tuna kila sababu za kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan profesa wa siasa na uongozi

Oktoba ni mitano tena bila kupinga!

#KaziNaUtu
#TunasongaMbele
 
Tahadhari tu kwa maafisa ubashiri, hasa waliozaliwa juzijuzi:
Mpeni PSG (najua hamuwezi kushawishika vinginevyo), ila msiweke mizigo mikubwa ambayo hamuwezi kuhimili kuipoteza maana lolote laweza tokea.

Mganga wetu kwenye gemu za hivyo huwa ni immortal, hakufagi.

Bayern Munich walishambulia mpaka wakahisi kuchanganyikiwa, hadi penalti zilikuwa zinapanguliwa tu asipopangua goalie beki atapangua kwenye chaki, wakikwama wote post inasaidia. Ili mradi tu wateule wanyanyue makwapa
 
Acha kufananisha chelsea na vitu vya kijinga
Mwambie huyo na umwambie kuwa Chelsea ni miongoni mwa timu ambazo zikifika fainali huwa hazitabiliki arejee fainal ya mwaka 2012 pale ujeruman bayan ilikuwa moto sana lakin mwisho wa siku The blues wakanyanyua kwapa na ile ya 2021 man city ilikuwa hot mwishowe ikawaje na mwaka huu ilikuwaje fainal Chelsea ndo timu pekee inayojua kucheza na timu ngumu pindi inapofika final
 
Tangu psg wajifunze jinsi ya kujamiiana , wanajiona Sasa wao ni wao na wanaweza kujamiiana na mwanamke yoyote. Haya bas sawa.
Psg leo wamekutana na kitu SEALED mamaeh...unataka kuingiza kitu kinagoma kinagonga ukuta ...Kuna mwamba kaliwa laki 4 , hapa naona anacheka cheka tu sijui ndio akili zimeanza kufyatuka...ngoja tuangalie maendeleo yake
 
Chelsea hatuchezi na wachovu Ila mmetulazimisha 😂
 
Back
Top Bottom