Recent content by tupomjinibado

  1. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una Hisi nani Anakupenda huku JF ila anaogopa Kukuambia?

    kweli?
  2. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa binti unaetamani mume wa kukupenda sana.

    [emoji23][emoji23]
  3. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dully Sykes Ft Mr Blue &Joslin - Dhahabu(Lyrics)

    halafu kama nimesahau verse ya kwanza...ila yote kwa yote baadae si anadai alikubali
  4. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dully Sykes Ft Mr Blue &Joslin - Dhahabu(Lyrics)

    [emoji23][emoji23][emoji23],naona mdogo mdogo mnaelewana lugha,kwa avatar hiyo mtu anaachache kukaba mpaka penat
  5. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Nimeshapona tatizo la nguvu za kiume kabla hata ya miezi mitatu

    walikuwa wanajua wanzinzi sana ninh?[emoji23][emoji23]
  6. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dully Sykes Ft Mr Blue &Joslin - Dhahabu(Lyrics)

    mkuu naona thread yako mwenyewe unatia sound mdogo mdogo, mimi nachukua sit; msiamie tu inbobo[emoji23][emoji23][emoji23]
  7. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dully Sykes Ft Mr Blue &Joslin - Dhahabu(Lyrics)

    ha ha ha ha wejamaa unahatari kichizi
  8. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Nimeshapona tatizo la nguvu za kiume kabla hata ya miezi mitatu

    stress, ndio tatizo...hakuna cha tatizo la nguvu au brah brah...mkuu unastress za pesa, muombe mungu hali ya uchumi ibadilike hizo nguvu zitakuja tu
  9. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Natengeneza sofa kisasa

    mtihani uko kwenye choice ya rangi mkuu,middle class choice zetu,Mungu anajua
  10. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Picha: Watetezi wa haki za wanyama shtakini huyu dereva wa gari la Serikali lenye number SU 38431 ...

    duuu jamaa mkavu mkavu...utakuwa mtu wa kanda ya ziwa au wabara
  11. tupomjinibado

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia za wanasheria wa kike ziko vipi?

    they are smart once they cheat, mostly leave no trace or dot connecting
  12. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Private Tutor For Open University Students & Distance Learner | Mwalim Binafsi kwajili yako

    Shukrani sana Rebeca, this is worth support and advise ntalifanyika kazi. shukrani sana, tuko pamoja
  13. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Private Tutor For Open University Students & Distance Learner | Mwalim Binafsi kwajili yako

    Shukrani mkuu kwa mchango wako, mwalimu anasifa hizo ahishi hapo tu bali anakipawa cha kuelewesha. kwa mwasiliano zaidi unaweza mtafuta katika hiyo namba atakupa maelezo kwa ufafanuzi zaidi na hata kuonana ikiwa hutoridhika na ufundishaji wake anakupa nafasi ya kueleza hilo. Karibu mkuu
  14. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Private Tutor For Open University Students & Distance Learner | Mwalim Binafsi kwajili yako

    Shukrani sana Rebeca, na tumai utanisaidia kusambaza ujumbe. Pamoja sana.
  15. tupomjinibado

    JamiiForums Tanzania Private Tutor For Open University Students & Distance Learner | Mwalim Binafsi kwajili yako

    Habari, Kwa wale wanao fanya masomo ya sheria(LLB/DPL) au wale ambao wanafanya program zenye law ndani. Sasa kapatika Mwalimu Binafsi, aliyeflexible kukufata na kukufundisha muda wa baada ya kazi kama walio wengi ambao ni wafanyakazi. Pia Mwalimu binafsi anatoa nafasi kwa wale wanaoweza...
Back
Top Bottom