Natengeneza sofa kisasa

Natengeneza sofa kisasa

Nock

Member
Joined
Feb 14, 2018
Posts
45
Reaction score
23
Habari ndugu na jamaa,

Naitwa Enock, napatikana Mbezi, Dar es Salaam, Tanzania.

Mimi ni fundi sofa natengeneza kwa oda, naweza kukufuata mahali ulipo au unaweza kufika ofisini kwetu Mbezi mwisho (Mbezi ya Kimara).

Bei zetu ni za kawaida sana.

Kwa mawasiliano nipate hapa;
0652874876 au
0758079171.


Pia sofa kama hii bei yake ni 1,000,000
PhotoGrid_1544125407486.jpg
 
Back
Top Bottom