Mtu yoyote yule anayefaidika na system ya serikali hawez lazma Asifie tuu. Na anasahau hii ni Nchi yetu sote na kama kuna mambo hayaend sawaa bas tukae kimyaaa tuuu
Ha ha haaa, mm kuna siku nilipata mchepuko bhana, demu chap kaja geto bas mwana nikavaa ndomu nikapga kimoko cha hamu, ila nimemaliza natoa ndomu naona demu anatoa kitambaa chake kweny mkoba wake, nikamuuliza kitambaa cha nn hicho? Demu akasema kwa ajili yako mpenzi nataka nikufute, nikamwambia...
Kuna jamaa mmoja kitaa. Baba yake alitoa eneo ikajengwa shule, eneo ni kama hekari 40 ivi. Sasa iv jamaa anakomaa hilo eneo lilirudishwe kweny familia yao ingawa tayar mzee wake ameshatangulia mbele haki. Kitu kikishatolewa kwa taasisi fulan kukipata huwa kaz sana na tuseme tuu huwez kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.