Recent content by tuntufyee

  1. T

    Magufuli achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa kumrithi Kikwete. Makamba asema “Magufuli atawabatiza kwa moto“

    Wewe Dodoma upajui? Aaaaah ni pahara pazuri na penye historia ktk nchi yetu.
  2. T

    Magufuli akataa ombi la Kinana kujiuzulu, amteua kuendelea kuwa Katibu Mkuu wa CCM

    Mzee mjanja Sana katumia akili ndogo Sana kuendelea kushika ukatibu kwanza ni kumfanya Mgeni asichukue hata muda kumfikilia mtu mwingine zaidi yake yaani wakati mteja akiwa na anafikili ni mtu wa namna gani nitaanza nae (mwwnyekiti) basi anafanya mind set yote imuuwaze yeye. .. Nimekupenda bure...
  3. T

    Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

    Kwa ninacho kifahamu Mimi hakuna Best university but kuna Best graduates.
  4. T

    Fahamu Mkakati wa Kibiashara (Business Strategy)

    Asante kwa kusambaza ujumbe pamoja nasi, vipi hii mikakati ni kwa wafanyabiashara wakubwa na wadogo vipi kuhusu wanaoanza biashara ?
  5. T

    Germany vs France: EURO 2016 Semi-final (LIVE Updates)

    Kipigo kipo palepale
  6. T

    Jamani hivi wachina washaanza kuita watu interview?

    Asilimia kubwa walioitwa walio mtaani yaani waliohitimu Tayari kama wewe ni mwanafunzi bado uwe na subra...
  7. T

    Tuwapikie nini kuepuka matatizo ya nguvu za kiume/vyakula vya asili?

    Hivi ni lazima title iwe nguvu za kiume? Ifikie wakati sio kila kitu tuviusishe Na nguvu za kiume
Back
Top Bottom