Jamani hivi wachina washaanza kuita watu interview?

neyma joseph

Member
May 15, 2016
22
2
Habari zenu wanajamvi,

Naomba kuuliza kama kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu nafasi za kazi za wachina zilizotolewa kwenye exhibition iliyofanyika kwenye viwanja vya UDSM.

Asanteni.
 
Asilimia kubwa walioitwa walio mtaani yaani waliohitimu Tayari kama wewe ni mwanafunzi bado uwe na subra...
 
Back
Top Bottom