Recent content by tunka

  1. tunka

    Regency park hotel iko mikocheni sehemu gani?

    Panda gari za kawe hapo mawasiliano shuka kawe, then panda gari za mbagala au buguruni shuka kituo kinaitwa kwa mwalimu nyerere then utatembea kidogo kuelekea mbele, hotel ipo upande huo huo ulioshukia.
  2. tunka

    Kuitwa kwenye usahili Arusha Technical College

    Asante sana mkuu kwa taarifa, sikujua leo ndio nimeona post yako
  3. tunka

    Je, huyu mwanamke ameniroga?

    Makubwa,
  4. tunka

    Nimeamua kuachana rasmi na Vodacom

    Customer care wa Vodacom hasa pale mlimani city wanaringa sana, utasikia Mara kitambulisho kina picha ya zamani kalete barua ya serikali za mitaa, kwa ujumla wanatuchosha wateja
  5. tunka

    Naomba ushauri, hana muda wa kuwasiliana na mimi

    Pole sana dada, hao ndio wanaume wa kizazi hiki walio wengi ndivyo walivyo
  6. tunka

    Nafasi za Kazi Utumishi

    Asante sana kwa taarifa mkuu
  7. tunka

    Vituko Vya Kwenye Daladala

    ha ha haaaa!
Back
Top Bottom