Kuangalia upya kuendana na starndard za shule kitahaluma kimazingira ni vizuri ila hili la kupanga Ada mi ni pite tu. Kwakuwa wazazi wengi siyo watahalam kielimu ila wanafikiri shule yenye majengo mazuri na Ghali ndio bora Serikali itupe hizo starndard sasa na siyo tu kwakuwa shule ili faulisha...
Hii ndio shida ya kulewa madaraka kwakuwa yeye ni mkubwa alithani kila asemacho ni sahihi na inakuwa sheria hapo hapo?
Asante sana Chande ihi ndio kazi yako itangazie pia Uma wa watz.
Ndg/Bi piga kura bila kukosa usisababishe uvunjifu wa Amani popote ila chunga kura yako sana.
Uzee ukikufika hata huweke mkorogo gani hapana ila kama wapenda Mabadiliko wahitaji kizazi kijacho kisipate msongo wa Mawazo kama sisi kwa sasa na kizazi hicho kisi je juta kuwa wa Tz basi Fanya kampeni sasa tu badilishe system hii tu.
Wa tuambie walifanya nini watatufanyia nini ni vip wataweza kuweka moral kwa watz wapende kuwa watz na si kujutia kuwa watz waache matusi. Watanzania sasa Mabadiliko ni habari ya mji na mtaa sasa wacha mi ni pite tu. Zimebaki siku chache sana tuta jua
Hakika kwa Mwaka huu wa madiliko wataongea yote ila watu wameamu hata kuchagua kivuli ila siyo ssm kwa wale wenzangu na mie watu ache wapigie debe mtu wao na wasema kwa walikisea wapi 50yrs?
Kincho takiw na ambavyo watz wamejipana kwa sasa ni kutoa system ya Sisim we wanao tukana na kujiropokea tusipoteze muda nawo tuwahelimishe zaidi wale wasio jijua ila kwa hali ilivyo sasa kwa kila mtanzania bila kuhitaji hata Elimu ya Msingi hali ni mbaya sana kila kona tufanye mahamuzi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.