Recent content by tunduma moja

  1. tunduma moja

    Kumbe Mechi ya Yanga SC na Namungo FC imelazimishwa ili Kocha Nabi atumikie Red Card yake na Mechi ya Derby awepo Benchini?

    Akili fupi, red card ni mechi tatu, sasa atakuwepo kwenye derby kwa kanuni ipi? Kashangilie twaaarab mpira hujui.
  2. tunduma moja

    Miaka 33 bila uwepo wako nguli wetu wa fasihi, May Lenna

    Vizuri, ila Chinua Achebe siyo wa rika lake, Chinua alizaliwa mwaka 1930, na kama May alikufa akiwa na miaka 40 mwaka 1987 ina maana alizaliwa mwaka 1947.
  3. tunduma moja

    Singida: Adaiwa kujinyonga baada ya kufumaniwa chumbani akiwa na baba yake

    Daah, yani kipochi manyoya cha bintiye alikipasua.
  4. tunduma moja

    Mke wa Mrema azikwa aliliwa kila Kona, mchango wake kuenziwa

    Nimesoma neno "aliliwa" nikashituka, neno tata.
  5. tunduma moja

    Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

    Hukumuelewa, yeye alizungumzia idadi ya mashabiki wanaoingia viwanjani wakati Yanga/Simba ikicheza na timu nyingine kwenye ligi, mashabiki ni wachache sana, ukilinganisha na hizo sherehe za wiki ya Mwananchi na simba day ambazo zinakuwa ni special kwa mashabiki wao na pia zinakuwa na promosheni...
  6. tunduma moja

    Le Poet Simaro Lutumba astaafu Muziki leo 19.03.2018 akiwa na Miaka 80

    Mashairi adhimu na jadidi kwenye wimbo wake "Ebale ya Zaire" ukiimbwa na Sam Mangwana ulidhihirisha kuwa hana mfanowe
  7. tunduma moja

    Rais Magufuli: Fedha za hafla ya Bunge zinunue vitanda Muhimbili

    Hata kama inatosha kitanda kimoja ni bora kinunuliwe,mimi bado naona hata hiyo 22 m walotumia ni nyingi.
  8. tunduma moja

    Vyuo vikuu bora Africa, UDSM tupa kule

    BBC hawafanyi utafiti,ila wametoa taarifa hiyo na wameitaja taasisi ilofanya utafiti huo na vigezo walivyotumia,ungetenga dakika zako 30 tu usingebisha hiki tunachokwambia.
  9. tunduma moja

    Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

    Unatafuta wa kukufira k.uma wewe?
Back
Top Bottom