Vizuri, ila Chinua Achebe siyo wa rika lake, Chinua alizaliwa mwaka 1930, na kama May alikufa akiwa na miaka 40 mwaka 1987 ina maana alizaliwa mwaka 1947.
Hukumuelewa, yeye alizungumzia idadi ya mashabiki wanaoingia viwanjani wakati Yanga/Simba ikicheza na timu nyingine kwenye ligi, mashabiki ni wachache sana, ukilinganisha na hizo sherehe za wiki ya Mwananchi na simba day ambazo zinakuwa ni special kwa mashabiki wao na pia zinakuwa na promosheni...
BBC hawafanyi utafiti,ila wametoa taarifa hiyo na wameitaja taasisi ilofanya utafiti huo na vigezo walivyotumia,ungetenga dakika zako 30 tu usingebisha hiki tunachokwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.