Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Naomba ndugu zangu muniambie. Hivi kuteketea kwa miji ya sodoma na gomora ilikua kazi ya binadamu aliyofanya labda kwa kumwaga petrol au bomu au kazi ya Mungu kutokana na hasira zake kwa vitendo vyao vya kusodomize. Kama ni kazi ya Mungu ina maana tumeshasahau na kwamba hawezi kuirudia tena?

bro binadamu cku iz 2natia knyaa sema MUNGU anatuvumilia sna ujue Mungu alituumba kwa mfano wke inauma sna kuona mwanaume wanageuzana hii inatia knyaa mbele za MUNGU mana n kumuaibisha yeye aliyetuumba kwa mfano wke ukiona haya ujue mwana wa m2 yupo njian kuja
 
Wala sina haja ya kujaribu binadamu hatupo sawa hivyo tukichulika sisi bisexual ndio mfumo sahihi na homosexual ni wakosaji wakubwa hivi nani anapenda kuchukliwa vibaya na jamii kama mashoga nani hapendi kuwa na familia lakini wanafanya kama njia ya kuwa na furaha na mahusiano yao kama wewe kama mimi shaleti nipo na lora na kuna alex anapenda ishi na john na kufurahia mimii nani wa kumwambia sio hiyo haki napata wapi?
Unatafuta wa kukufira k.uma wewe?
 
ninachojua ushoga kwa mwanaume inatokana na mwili wake kuwa na hulka za kike mwendo sauti umbo umbea hips makalio itikadi zote za kike wanakuwa nazo japo ni wanaume mi niliwahi kusoma nae mmj o level na mwingn alikuwa kitaa tunachokaa


Umebadilika nini?
 
Kumbe speech imetolewa Marekani na rais wa nchi yao. Nilijua katoa mkuu wetu wa nchi, waache wao waendelee na maisha yao na sisi na maisha yetu.
 
Hapa pagumu kila mmoja afe na msalaba wake! tatizo la ushoga haliwezi kumalizika hapa jf!! Na wanaosupport ushoga wanapoteza hela nyingi sana kutimiza azma yao na msipo kubali dunia itasambaratishwa kwa Nuclear Bomb! na nchi yoyote itakayo thubutu kupiga ushoga utawekewa vikwazo hadi mjisalimishe angalieni Zimbabwa!! Usimwangalie nani kafanya nini ili na wewe uinge fuata yale unaona yanafaa kwako Ushoga haukubaliki

Don't jump far up to mgabe just look on what our neighbor mseven experienced...! But still yet we have chances in both materially and logically to protect and establish the destiny of our coming generation...!
 
Don't jump far up to mgabe just look on what our neighbor mseven experienced...! But still yet we have chances in both materially and logically to protect and establish the destiny of our coming generation...!

Mbona una niquote halafu unakuja na lugha inayotumiwa na mashoga! au kuna sehemu nimeandika kwa kingereza?
 
Mbona una niquote halafu unakuja na lugha inayotumiwa na mashoga! au kuna sehemu nimeandika kwa kingereza?

Pole ila haimanishi ushoga ni kingereza ni makosa vile mtu usihanisha kiarab au uislam na ugaid...!
 
Unatafuta wa kukufira k.uma wewe?
Elimu yangu na profesheni yangu naamini ukoo wenui mzima hamna bora uniheshimu mkuu ..... Love is love and love is for all tuwaache watu waamue mambo yao.
 
Mkuu pole Sana.

kwanza Hiyo avatar yako, ya Steve Job ni ishara tosha, hako ka-genius kulikuwa shoga...hadi baada ya baadhi ya watu kulitambua hilo in middle East mauzo ya brands zake zimeshuka Sana...

Sasa nimeona hiyo avatar na unavyo support ushoga ......Daaah, nimestuka kidogo (I thought steve has rose again)


Anyway, labda mwana sio riziki....
Mimi ni mwanaume kamili mkuu nina elimu kubwa tu wewe unapenda demokrasia bado unataka kuwaamulia watu mambo ya faragha kweli karne ya 21?
 
Na we punga nn bro
Mimi sio pounga ila sioni tatizo mapunga kufurahia mahusiano yao karne ya 21 tuna mambo mengi ya kufanya sio kuwaamulia watu kuhusu mahusiano hayo ni masuala binafsi napenda mieleka lakini mimi mwanamieleka napenda boxing lakini mimii sio boxer.
 
Unayetaka kuwahukumu mashoga kwa kuwachoma moto, hiyo Ni kazi Ya Mungu maana hujawaumba wewe

Nawe uliyetukana kwa kutaja kiungo kilichotumiwa na Mama Yako kugegedwa Na Baba Yako Ili Mimba Yako Ipatikane, IQ Yko Imetoboka
 
Elimu yangu na profesheni yangu naamini ukoo wenui mzima hamna bora uniheshimu mkuu ..... Love is love and love is for all tuwaache watu waamue mambo yao.

kumbe elimu inakomboa kwel jaman.
 
Unayetaka kuwahukumu mashoga kwa kuwachoma moto, hiyo Ni kazi Ya Mungu maana hujawaumba wewe

Nawe uliyetukana kwa kutaja kiungo kilichotumiwa na Mama Yako kugegedwa Na Baba Yako Ili Mimba Yako Ipatikane, IQ Yko Imetoboka

lingine hili hapa bwabwaa.
 
Hivi unajua nini maana ya neno bisexual??? Kwa kulitamka tu nakuona hauko nomo.. Hapa umefeli na uajenti wako
mkuu bisexual inahusu sex zote na si binadadmu tu wanahusika heterosexual male vs female na homosexual ni same sex kama nimekosea nipo tayari kusahihishwa.
 
Back
Top Bottom