Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,981
- 2,359
Hiyo ilikuwa mwaka 2012
Hiyo ilikuwa mwaka 2012
waliongalia BBC swahili leo hawawezi bisha, ila hawa walozoea uongo wa huyu prof mshiriki kitila watabisha tu na washjaanza ubishi wao tayari
Hiyo ilikuwa mwaka 2012
BBC hawafanyi utafiti,ila wametoa taarifa hiyo na wameitaja taasisi ilofanya utafiti huo na vigezo walivyotumia,ungetenga dakika zako 30 tu usingebisha hiki tunachokwambia.Kwani BBC wanafanya tafiti? Taasisi kibao zinafanya...
hiyo tafiti ya 2013 kapigie bao la mkono
Jamaa alitaka kutuviringisha!!!Duu!!Nadhani hiyo taarifa alitoka nayo kwenye daladala...
au mnataka mpaka muambiwe kuwa mnakana tafiti zenu,labda useme tupike tafiti zetu tuweke UDSM ya 2 AfricaKwa hiyo unataka kusemaje? Acha uvivu nenda google..!
au mnataka mpaka muambiwe kuwa mnakana tafiti zenu,labda useme tupike tafiti zetu tuweke UDSM ya 2 Africa
Kweli kazi ipo top 100 Tanzania tuna chuo kimoja tuuh...! Kweli jk na ccm yenu mumetuharibia sana elimu..
wasomi wenyewe ndio hawa wanaowashabikia akina fisadi lowasa?
waliongalia BBC swahili leo hawawezi bisha, ila hawa walozoea uongo wa huyu prof mshiriki kitila watabisha tu na washjaanza ubishi wao tayari