Mbona bado tunaibiwa mapesa kibao na malisilimali kibao na raia wasio wa inchi singine?
Eti kulinda usarendo, usarendo upi?
Usarendo unaovunjwa na wenyesi wa siyo diaspora.
Gari kupewa namba D au E haina maana kwamba hiyo gari ni mpya.
Gari iliyotengenezwa mfano mwaka 1975 na ikaletwa Dar leo kutoka Japan inapewa namba E.
Haya ni maajabu kweli kweli.
System hii ya kutoa number plates kwa vifaa vya moto inafaa marekebisho.
Combination ya excessive sweating (hyperhidrosis) + bacteria ndo shida.
Inabidi hiyo excessive sweating kwapani ipunguzwe kwanza ndiyo ifuatiwe na maswala usafi kwanza kusiwe na hao bacteria.
Nenda kamuone Dermatologist (daktari wa magonjwa ya ngozi) akuchome Botox injection kwenye kwapa.
Deodorants, limau, ndimu, chumvi etc etc haziwezi kuondoa hilo tatizo.
Choma kwanza hiyo Botox ndio utumie hizo deodorants.
Ni PM ili nikuelekeze vizuri. ………
Tuwasiliane.
Nenda hospital waambie wakuchome sindano ya BOTOX kwenye kwapa zote mbili, hilo tatizo litaisha.
Kuna uwezekano mkubwa kwa madaktari wachache sana wanaoifahamu hii tiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.