"Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani."
Kwa maana hiyo unasema mke wa Mfalme Ahazi au Nabii Isaya ndiye aliyemzaa Mungu?
Kamati ya Maadili nayo inatakiwa itoe taarifa ya kukanusha na kuwaomba TCRA wafatilie ili kubaini nani aliyesambaza habari hiyo... Kamati ya Maadili ishughulikie utovu huu wa Maadi!
Hijab siyo dini, hijab ni vazi la mila ya karibu makabila yote ya Mashariki ya Kati kama vile kwa wanaume kuvaa kanzu, tofauti ni kuwa kwa waislamu hijab ni Sharia!
Yerusalem ni mji mtakatifu kwa sababu Mfalme Suleiman alijenga nyumba ya Mungu kama alivyoagizwa baba yake Mfalme Daudi. Pamoja na hilo Hekalu alilojenga lilikuwa na mahali Patakatifu na ndani zaidi palikuwa na mahali Patakatifu pa Patakatifu. Kasome vizuri biblia yako. La sivyo kama una maana...
Eti Yanga haishambulii kwa nidhamu, jamani statistics huwa hamzioni? Mashuti yaliyolenga lango na mashuti yaliyotoka nje ya lango, pia kona ngapi zilizopigwa.... Hayo yote hamyaoni, mbali na kosa kosa nyingine zonazookolewa na mabeki wa upinzani!
Kufikiwa langoni siyo tatizo huo ndiyo mpira, sidhani kama kuna timu isiyofikiwa langoni... Na hapa namaanisha eneo la ndani ya 18! Timu nyingi kwa sasa zinaona ni bora kufikiwa golini lakini wasitoe mwanya kwa mpinzani wa kupiga kulenga goli, kuliko kupishana na kujifanya kushambulia na kuacha...
Kwanza jiulize watu wenye akili timamu na marafiki kila kona kwa nini wakimbie? Waliochelewa kukimbia wamepoteza maisha na leo mnajifanya kuwasikitikia na kivilalamikia vyombo vya usalama, hawa waliokimbia wapo hai kulitetea taifa, je ulitaka na wao wapoteze maisha ili abakie Mwamba peke yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.