Nakushauri uendelee na kujiwekeza lakini tumia kazi kama sehem ya kukopa yaani kila unapomaliza deni unakopa na ukiwa akilini mwako unajua kua kipato chako kipo kwenye pale umewekeza. Usiache kazi ndg we piga kazi wakati unaelekeza nguvu nyingi kwenye uwekezaji
Kumekuwa na Mjadala kuhusu ndege Mpya za ATCL! Nimeikuta hii mahali na naweka hapa wengine nao waone! Nikiwa X-staff wa iliyokuwa ATC, ninaelewa! Wakati mwingine ni vizuri kujua hadi uamuzi unafikiwa watu wamefanya utafiti, hali halisi ya viwanja vyetu na sababu zipi kwa chaguo husika!
BOEING...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.