Kile kizee kikifika hapa nitakoma![]()
![]()
Asprini quinineiiii kuya bande hii
Na kweli kikileta shobo wewe kipigw zongoKikorofi kama nini huwa sikisahau dawa yake zongo tuu![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio maana nakupendaSubiri nikitengeneze sasa hivi
Ni hii vipi. 10+10=1010 au 10 mbiliDuuh mwalimu umerudi lini??
Nimefurahi maana mwezi mzima kifungoni si mchezo.Hahaaa ooho poa mwalimu.... Karbu tena stress free zone
Tuko wengi kumbe namba kuzijumlixha shughuli kweli ila kuhesabu hela tuko vizuriA na B ni sahihi
Hiyo fimbo ya kuchungia ng'ombe na viatu pia. Nadhani alifikiri huyo mtoto ni ng'ombe ndo maana hakuchagua hata pa kupiga.
HahaaaaaaaMwalimu na mwanafunzi akili zao zinafanana......
Huyo mwalimu kavaa kama yuko kwenye madogori.....!!!

Hizo gambuti za Mwalimu Kama analima vijaruba vya mpunga kyela
