Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Nokia-E1-thumb.jpg
shukrani sh ngapi mkuu
 
Yani brand yao sijawahi hata kufikiria kuitumia.

Acha waendelee kutoa tu,walengwa watazitafuta.
 
Sijui ambao wanakariri majina. Hizo ni specifications za juu kuliko simu nyingi zenye majina
Inaweza kuwa specifications za juu kwa number tu.
21 megapixel(tecno) = 8 megapixel (Samsung).
 
kwaiyo primary cam ni 42MP?
wanashindana na nani?
😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
 
Inaweza kuwa specifications za juu kwa number tu.
21 megapixel(tecno) = 8 megapixel (Samsung).
Hawa huwa wako safi sana kwenye ubora wa camera zao afu tangu makampuni yatoe simu wao ndio waliotoa simu nyemba zaid duniani
 
Duh Tecno ya million 1.. Yenye camera sensor sawa na iliyopo kwenye Xiaomi mi4c kwa Ile ndogo na ile kubwa ina sensor sawa na ya xperia z3+ *kwa mujibu wa sources nilizopitia *(kwa kifupi haiwezi shindana na camera yoyote kwenye simu high end ya mwaka huu au hata mwaka Jana) na processor yenye core 10 zisizo na faida .. Tecno punguzeni bangi kama mtu una akili timamu bora ukanunue One plus 3 au ZTE axon 7.

Au kama unapenda simu zenye ui za kichina, na ma core mengi , pamoja na dual camera chukua hata Huawei honor 8 kwa bei rahisi zaidi.
ZTE axon 7 ni habari nyingine!!
 
Watashindana lakini hawatashinda (Iphone)daima ipo juu.

Binafsi natumia iphone 5S, japo toleo la nyuma kdgo lakini hata uniwekee iphone 4 na Tecno hiyo mpya still ntachukua iphone, tecno ina watu wake wale wapiga mziki kwa daladala
 
Back
Top Bottom