Nionavyo mm hv sasa Tanesco wanakata umeme makusud takrban 24hours ili wananchi walalamike sana wapate kisingizio cha kusaign mkataba na hao MATAPELI wa DOWANS.
Unawezaje kusaign mkataba na tapel isitoshe tapel mwenyewe amekupeleka mahakamam eti anakudai mahela kibao?
Tanesco wamepandisha...
bravo bravo Maguful kaz unayoifanya tunaiona utekelezaj wa sheria hauna msamaha wala kuoneana huruma si unajua huruma huzaa dhambi?
hii itakuwa fundisho kw wahuni wengne wote, wakaambiane bila kufchana wajue kwamba hiyo wizara ya ujenz ameingia mtu wa kaz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.