babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Magufuli amekuwa ni kati ya mawaziri wachache ambao utendaji wao umekuwa ni wakuridhisha.Wiki hii tumeona amefanikiwa kuliokolea taifa zaidi ya billion 5 kutoka kwenye malipo hewa. Wakati akiwa anafichua ufisadi huo alielezea pia kuhusu ulipaji wa fidia, ambapo kuna sehemu niliona amepotoka . Nina mnukuu Kama nyumba yako imeingia nusu ndani ya eneo la barabara, itabomolewa hiyo nusu na wewe utalipwa kulingana na ulivyobomolewa, hatuwezi kulipa gharama ya nyumba nzima wakati umebomolewa nusu
Kwanza haya ni makosa ambayo yameanywa na serikali kwa tamaa za watu wachache kukiuka taratibu zilizopo ili kujinufaisha wao wenyewe.Watu kama awa matokeo ya udhalimu wao awatakaa wayaone na labda wanaishi happy life Mbezi beach.
Waliouziwa viwanja nusu kiko kwenye eneo la barabara ni binadamu kama sisi, na sio mashine uneyoweza kuiprogramu ifanye jinsi unavyotaka,.Ni watu ambao wamekuwa wanaanya kazi kwa bidii na wakafanikiwa kutimiza ndoto zao za muda mrefu.
Sasa leo unakuja kuwaambia nitakulipa fidia nusu ya aka kabafu,sebule,jiko na chumba cha watoto .SIO HAKI KABISA. Kwa nini isiwe f idia ya nyumba nzima na pesa za usumbufu ili start from the scratch na kuishi life ambayo walikuwa wameipangilia toka mwanzo.
Mbona wasijifunze kwenye swala la Radar tulilipa £28m lakini tukalipwa fidia ya £30m na radar tunabaki nayo.
Kwanza haya ni makosa ambayo yameanywa na serikali kwa tamaa za watu wachache kukiuka taratibu zilizopo ili kujinufaisha wao wenyewe.Watu kama awa matokeo ya udhalimu wao awatakaa wayaone na labda wanaishi happy life Mbezi beach.
Waliouziwa viwanja nusu kiko kwenye eneo la barabara ni binadamu kama sisi, na sio mashine uneyoweza kuiprogramu ifanye jinsi unavyotaka,.Ni watu ambao wamekuwa wanaanya kazi kwa bidii na wakafanikiwa kutimiza ndoto zao za muda mrefu.
Sasa leo unakuja kuwaambia nitakulipa fidia nusu ya aka kabafu,sebule,jiko na chumba cha watoto .SIO HAKI KABISA. Kwa nini isiwe f idia ya nyumba nzima na pesa za usumbufu ili start from the scratch na kuishi life ambayo walikuwa wameipangilia toka mwanzo.
Mbona wasijifunze kwenye swala la Radar tulilipa £28m lakini tukalipwa fidia ya £30m na radar tunabaki nayo.