Nionavyo mm hv sasa Tanesco wanakata umeme makusud takrban 24hours ili wananchi walalamike sana wapate kisingizio cha kusaign mkataba na hao MATAPELI wa DOWANS.
Unawezaje kusaign mkataba na tapel isitoshe tapel mwenyewe amekupeleka mahakamam eti anakudai mahela kibao?
Tanesco wamepandisha gharama ilhal huduma wanazozitoa ni zaidi ya duni/hakuna maslai yoyote kwa mlipa kodi.
Nijukumu letu kusimama kwa ajili ya nafsi ze2 na taifa letu kwa ujumla.
Unawezaje kusaign mkataba na tapel isitoshe tapel mwenyewe amekupeleka mahakamam eti anakudai mahela kibao?
Tanesco wamepandisha gharama ilhal huduma wanazozitoa ni zaidi ya duni/hakuna maslai yoyote kwa mlipa kodi.
Nijukumu letu kusimama kwa ajili ya nafsi ze2 na taifa letu kwa ujumla.