Kwake yeye wala hakurupuki ila anaamini afanyavyo ndivyo washabiki wake watakavyo, mfano siku ya yanga day kuna tukio lilokuwa na vibe kubwa zaidi ya utambulisho na mauno ya tsabalala? hapana, ndipo akili za mashabiki wa bongo zinapoishia na yeye engineer anapita humohumo, niliwahi kushauri hapa...
Huwa nasikia mitaani eti aliyegundua ngazi alikuwa mfupi sana, na aliyegundua kufuri alikuwa mwizi mkubwa. Misemo hi huwa nikiitafakari naishia kukubaliana nayo kwa sababu mbili kuu
1. Wakati ugunduzi huo unafanyika sikuwepo hivyo siwezi kubisha
2. Aliyeanzisha haki za binadamu ndiye alikuwa...
Nakumbuka nyerere kafariki 1999, ni miaka mingapi mpaka leo? na Je, gape la umri wake na mke wake lilikuwa sawa na miaka hii aliyoiishi mke wake baada ya yeye kufariki?
Kwahiyo nigeria wakichinjwa ni redioni ila gaza wakilipuliwa ni ukweli. Haya sawa, vipi kuhusu congo? Kwani Oct 7 ilikuwa nayo ni redioni au ilikuwa ukweli? Natamani uungane na member aliyekushauri uwatetee wote, vinginevyo itikadi ndio itakuwa inakuendesha na sio ubinadamu. Na ikishathibitika...
Binafsi mimi naomba niungane na jamaa unayemuita mjinga, yaani namimi niwe mjinga lakini naomba unitoe ujinga wangu kwa kunijbu maswali yafuatayo:
1 Kwani mabomu yanapotua na kuua wanawake na watoto tu wanaume wa gaza kila siku huwa wako wapi mpaka wao hayawagusi?
2. Tuliona siku ya...
Babu yangu mpaka leo humwingizi kanisani wala msikitini, we unaesema waafrika hawana dini bali mila kwani waliokuwa wanaabudu kwenye miti ni dini au mila? Kuabudu sio mila ila kutambika ndio mila, kuabudu ni dini haijalishi unamwabudu Mungu kupitia kwa nani, kuna wanaopitia kwa yesu, kwa...
Kama hujui umuhimu wa daraja la busisi sio mbaya ukikaa kimya, maana hata hujui kuwa hilo daraja linaiunganisha nchi yetu na rwanda, burundi, congo na uganda. Pia nashauri watu kama nyie muwe mnakaa kimya tu maana mnakera na utoto wenu
Mi natamani kwanza kujua kigezo kilichotumika kuachia maelfu ya wafungwa wa kipalestina kwa wisrael wanne tu siku ya kwanza, hii hesabu hamas walimaanisha thamani yao haina hadhi sawa na waisarael, nilijua watakua wanabadilishana mmoja kwa mmoja lakin wao wakademand wapalestina maelf kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.