Wanaofahamu sheria naomba watusaidie...
Ni viongozi gani wa kitaifa wanatakiwa kusubiriwa kupita na watumiaji wengine wa barabara kustopishwa?
Karibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo yupo mkoani Morogoro kwa ziara na mikutano. Leo jumapili tarehe 5/2/2023 asubuhi barabara zote za kuingia na kutoka...
Kifo cha Ruge kimenifanya nikajikuta natafakari safari ya muziki wa Tanzania was kizazi kipya, alias Bongo fleva...
Trend ya muziki wa bingo fleva kwa sasa ipo juu. Kwa sasa ni rahisi mwanamuziki akapata umaarufu kwa muziki mmoja, na ukambadilisha kimaisha kabisa kimapato..
Hata hivyo...
Mwandishi wa Radio Abood ya Morogoro ameripoti kwamba wabunge waliopata ajali jana tarehe 29.03.2018 saa tatu usiku eneo la bwawani wapo njiani kwenda uwanja wa ndege tayari kupelekwa Muhimbili...
Wawili kati yao inasemekana hali zao bado ni critical...
Tuwaombee wabunge wetu wapone haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.