Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,403
hawa jamaa wajinga kweli, yaani wanampa nyoka mbuzi wao wanaenda kula na mboga za majaniJifanye kuwa nyoka uende chato
hawa jamaa wajinga kweli, yaani wanampa nyoka mbuzi wao wanaenda kula na mboga za majaniJifanye kuwa nyoka uende chato
Joka la watu limejipotelea zake njia huko lishageuzwa mungu... Linawashangaa tuKatika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya Mkoa wa Geita wamepiga kambi katika pori llililopo Kitongoji cha Iseni Kijiji cha Kasala Kata ya Makurugusi Wilaya ya Chato Mkoani humo baada ya kudaiwa kuwepo kwa nyoka aina ya chatu mwenye maajabu huku wengine wakionekana kuchota Baraka kutoka kwa nyoka huyo kwa kufanya matambiko.
View attachment 1203478
Imani zipi ni potofu? Acha kujifanya wewe mzungu ilihali huna jipyaWatu wa kanda hiyo wana imani za kijinga sana, mpaka wasomi hawana tofauti na wasiosoma
ia kuwa ni Muslims, uliwaulizia dini zao. Maana mtu kuvaa barakashia sio kigezo cha kuwa Muslim, au wale waliojifunika gubigubi na maguo meusi , pia sio kigezo.Wengi wao waislam.
Bora hoa kuliko iyo kanda inayo waza WiziWatu wa kanda hiyo wana imani za kijinga sana, mpaka wasomi hawana tofauti na wasiosoma
Nyoka anajionea tabu kuibukia kwa WasukumaWegine wamekuja na maandazi
Wengine wàmekuja na wali
Nyoka anakula maandazi aseee.......
Usinijibu mimi hivyo wewe, you seems like you have escaped from zooImani zipi ni potofu? Acha kujifanya wewe mzungu ilihali huna jipya
Asa wanampelekea maandazi na wali jamaa wanazingua aseeeNyoka anajionea tabu kuibukia kwa Wasukuma
Wasomi wanaokwiba presentations za watu?Watu wa kanda hiyo wana imani za kijinga sana, mpaka wasomi hawana tofauti na wasiosoma
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya Mkoa wa Geita wamepiga kambi katika pori llililopo Kitongoji cha Iseni Kijiji cha Kasala Kata ya Makurugusi Wilaya ya Chato Mkoani humo baada ya kudaiwa kuwepo kwa nyoka aina ya chatu mwenye maajabu huku wengine wakionekana kuchota Baraka kutoka kwa nyoka huyo kwa kufanya matambiko.
View attachment 1203478