Recent content by Tuishi

  1. T

    Kwanini Taifa stars kufungwa na Kenya baadhi ya watanzania wameshangilia kuliko tulipofungwa na Senegal?

    Pole Tanzania.. Naona yaliyokuwa yanakuunganisha, yanaanza kukutenganisha.
  2. T

    Vodacom nimewachoka

    Jeuri ya vodacom ni huduma ya M-PESA wana wateja wengi na ni ya uhakika. Siku mitandao mingine ikijiimarisha katika huduma zao, tunaweza kushuhudia anguko lao.. sio MB tu, hata dakika ni chache ukilinganisha na wenzao.
  3. T

    Kwa niaba ya mzungu mswahili Kenya kesho jiandaeni tutawakung'uta

    Hope, is the last thing we loose
  4. T

    Sioni umuhimu wa kwenda chuo

    Nalojua mimi, wasomi wengi wanapitishwa kwenye kipindi cha mpito... sasa we acha ukidhani mtaani kuna urahisi.
  5. T

    Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

    AKINA Himidini Tyta @BabaV
  6. T

    Ugomvi katika mahusiano ni afya

    Mleta mada uko sahihi tatizo watu wanategemea furaha wakati wote
  7. T

    Ugomvi katika mahusiano ni afya

    yataisha usihofu
  8. T

    Usije nyumbani bila mke

    nipo tabora, nina miezi mitano sijarudi nyumbani maana nipo kazini, sitaki kuanzisha mahusiano mapya kwa sababu nilitendwa vibaya hata wao wanajua vizuri
  9. T

    Usije nyumbani bila mke

    Sio sana ila wanafanya ivi ili nioe kwan tayari rika langu wote wameoa na hata wadogo zangu wana watoto
  10. T

    Usije nyumbani bila mke

    au hujanielewa? Nimesema sina hamu na kuanzisha mahusiano mapya
  11. T

    Usije nyumbani bila mke

    Jamani nina mawazo, wazazi wangu wametuma ujumbe kupitia mdogo wangu kwamba nisirudi nyumbani bila mke. Sio kwamba sitaki kuoa,uwezo upo na nia ipo,tatizo tangu nimetendwa sina maandalizi wala hamu ya kuanza mahusiano mapya.Ushauri wakondugu
  12. T

    Kwa style hii wanaume wafupi jiandaeni kisaikolojia

    Wajuzi wa kuingilia uumbaji wa Mungu endeleeni, mi kimya, naogopa. Ya Mungu Mengi
Back
Top Bottom