Kwanini Taifa stars kufungwa na Kenya baadhi ya watanzania wameshangilia kuliko tulipofungwa na Senegal?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,932
141,894
Watanzania ni watu wa ajabu sana na hasa wale wanaojiita " makamanda " yaani timu yetu ya taifa inafungwa wao wanashangilia.

Mbaya zaidi wanashangilia wapinzani wetu katika mechi muhimu ambayo ilikuwa ni lazima tushinde.

Halafu na nyie akina Haji Manara huko Misri mnajigharamia wenyewe au ndio mnabunya zile milioni 370 alizotuchangishia mama Samia kwa ajili ya wachezaji wa Taifa stars?!
Isijekuwa nyie ndio mmekuwa mnasababisha wachezaji wetu wapate lishe duni kwa kuhemea posho zao maana tulisikia wanalipwa dola 75 badala ya 300.

Na wewe Sugu ( waziri mbadala wa michezo) mbona uko kimya sana hata Cairo hujaonekana?!!

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana na hasa wale wanaojiita " makamanda " yaani timu yetu ya taifa inafungwa wao wanashangilia.

Mbaya zaidi wanashangilia wapinzani wetu katika mechi muhimu ambayo ilikuwa ni lazima tushinde.

Halafu na nyie akina Haji Manara huko Misri mnajigharamia wenyewe au ndio mnabunya zile milioni 370 alizotuchangishia mama Samia kwa ajili ya wachezaji wa Taifa stars?!
Isijekuwa nyie ndio mmekuwa mnasababisha wachezaji wetu wapate lishe duni kwa kuhemea posho zao maana tulisikia wanalipwa dola 75 badala ya 300.

Na wewe Sugu ( waziri mbadala wa michezo) mbona uko kimya sana hata Cairo hujaonekana?!!

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Waziri husika na Wizara hiyo hakwenda hapo awali, Sembuse Waziri Kivuli!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana na hasa wale wanaojiita " makamanda " yaani timu yetu ya taifa inafungwa wao wanashangilia.

Mbaya zaidi wanashangilia wapinzani wetu katika mechi muhimu ambayo ilikuwa ni lazima tushinde.

Halafu na nyie akina Haji Manara huko Misri mnajigharamia wenyewe au ndio mnabunya zile milioni 370 alizotuchangishia mama Samia kwa ajili ya wachezaji wa Taifa stars?!
Isijekuwa nyie ndio mmekuwa mnasababisha wachezaji wetu wapate lishe duni kwa kuhemea posho zao maana tulisikia wanalipwa dola 75 badala ya 300.

Na wewe Sugu ( waziri mbadala wa michezo) mbona uko kimya sana hata Cairo hujaonekana?!!

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Baadhi ya watanzania tumefurahi kwa timu kufungwa baada ya kusikia timu imeenda kutekeleza ilani ya chama na mnafahamu fika caf na FIFA hawataki politics kwenye soka, nikuulize swali mtoa mada hivi mtaacha lini kila kitu kuweka sasa?
 
Baadhi ya watanzania tumefurahi kwa timu kufungwa baada ya kusikia timu imeenda kutekeleza ilani ya chama na mnafahamu fika caf na FIFA hawaraki politics kwenye soma, nikuulize swali mtoa mada hivi mtaacha lini kila kitu kuweka sasa?
Siasa ni maisha na michezo ni sehemu ya maisha na kwa maana hiyo michezo ni siasa!
 
Back
Top Bottom