Recent content by tugende

  1. T

    Waliosoma Iyunga Technical Mbeya

    Mkapa wapi time will tell hahaha
  2. T

    Mayai Mayai ya kware trei moja elf 15

    Natakakujua anapatikani wapi?
  3. T

    Mayai Mayai ya kware trei moja elf 15

    Ok ntakutafuta unapatikana mkoa gan
  4. T

    Wapi naweza nunua hii bidhaa kwa Tanzania?

    Nenda keko magereza itatengenezewa furniture utakayo labda ushindwe bei wako vizuri
  5. T

    Makonda achana na gwajima, shughulika na yanayokuhusu.!

    Huo ndiyo utendaji alioelekezwa hahaaa
  6. T

    Prof. Baregu: Zitto ni mzigo

    Kwani kuhama chadema ndiyo zitto amekuwa hamnazo kwa nn asiseme kuwa zitto ni mzigo pindi yupo cdm that shame
  7. T

    Ujumbe mahsusi kwa Wachungaji wenye Mabodigadi

    Mh haya yote ni mahangaiko ya wanadamu wanalinda nafsi zao huku wakilitangaza jina la Mungu kuwa ni ngome yao huku hawasadiki wakiweka walinzi kuwalinda
  8. T

    Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT

    Jamani siasa siyo uadui kila chama kina dira yake sasa mtu akivutiwa na mipango mizuri ya chama fulani chenye mipango ya kuikomboa tz yetu ni msaliti basi kila mpinzani ni msaliti wa ccm?
Back
Top Bottom