Mh haya yote ni mahangaiko ya wanadamu wanalinda nafsi zao huku wakilitangaza jina la Mungu kuwa ni ngome yao huku hawasadiki wakiweka walinzi kuwalinda
Jamani siasa siyo uadui kila chama kina dira yake sasa mtu akivutiwa na mipango mizuri ya chama fulani chenye mipango ya kuikomboa tz yetu ni msaliti basi kila mpinzani ni msaliti wa ccm?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.