Hata Slaa alitoka ccm baada ya kufanyiwa mtimanyongo na kujoin cdm na mara moja akateuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la karatu. Ktk siasa hiyo ni kawaida.
Ninachojua ni kwamba hujawahi kuwa mfuasi a CDM kwa hiyo acha kutapatapa. Hata CDM ingemsimamisha Dr Slaa ninaamini usingekuwa mmoja wa wanaomsupport. Kwa hiyo ni bora unyamaze kimya tulikomboe taifa halafu ufurahi matunda ya uhuru baada ya hapo.
Ninachokiona hapa in ccm wanatekenyana wenyewe. Ukawa wako imara kama jiwe. In vema bigshow kajipange upya na ulete post yenye maana kidogo hii imekubumia booooom.
Kama dhana ni matumizi mabaya ya fedha basi tuanze na watawala. Wauze maVX, punguza safari za mkuu,rejesha fedha za EPA na tukadai hela walizotuibia akina Richmonduli.
Kwa maelezo yako tu yanaonyesha ww ni mdini namba 1. Halafu unajifanya hutaki udini. Kama huna thread bora usome za wenzako kuliko kufanya ujinga wako humu.
Acheni ufala ninyi serikali inawaongezeni mshahara wa bure halfu mnapiga mikelele tu. Cheki watoto wanavyofeli kazi hamfanyi ila mnataka malipo makubwa. Nendeni wanakoweza kuwalipa mishahara mikubwa basi mkachukue.
Kama tunaipenda amani yetu kamwe tusifikirie kuiondoa madarakani ccm. Hakika hawa jamaa watatuangamiza kwa mpango huo uliotueleza mkuu inatisha. Hivi hii Green guard c jeshi la kutuangamizia jamani!
Ni vema ccm wakajiuliza hivi utawala wa kifalme Misri uliishaje? Ndivyo ambavyo utawala waoipo siku utaisha tu. Wao wajilinde wenzao wasijilinde haiingii akilini. Nawashauri cdm warevisit mbinu zote zilizotumika kuiangamiza NCCR na CUF zisije zikatumika kuwaangamiza na wao.
Ktk watu wanaonichefua ni pamoja na huyu mwigulu. Anachoniuzi zaidi ni pale anapovaa bendera ya taifa halafu anaongea utumbo it pains alot. Hv huyu ----- ni kweli hajui jinsi Wabongo tunavyonyanyasika na hili chama lao la majambazi? Kuna wakati aliponda sana mapendekezo ya upinzani kuhusu bajeti...
Msimlaumu hayo ni mawazo yake. Siku zote mvivu ni mtu mwepesi kupokeas jambo lolote ili mradi tu lisimfikirishe sana. Hata Mkapa ni CCM ileile ndio maana ni lazima chama kibadilike. Tusubiri kidogo tu Tutaenda kuomba ushauri Rwanda jinsi ya kuiendeleza nchi yetu. Aibu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.