Acha up go
acha uongo Kwa mwaka 1988 hakuna mtz wakawaida angeweza kumidu hiyo garama kiwango na thamani ya tsh Kwa kipindi hicho ilikua ni jela ya ki service idara ya serikali kabisa
Kizazi kipo ila hakiyumii Tena jina la Hitler kama ilivyotokea Kwa idd Amini wanafamilia wanaogopa kutumia jina maana linahamasisha kisasi na kunaweza kuleta kizazi kitakachoamini ushenzi na ukatiki wa Hawa jamaa ni sawana ushujaa na uzalendo
Kinachofahamika kabla ya vita kuisha majenerali wengi walikua mstari wa mbele walishaelewa wanapoteza na hakuna uwezekano wa kushinda Tena vita vile ! Jinamizi alilotabiri na kuogopa cansela Bismarck lilikua limetimia ! Yeye aliogopa isijetokea ujerumani ikawa na vita Kwa pande za mashariki...
Uingereza imekua na bahati Sana Kila vita vilivyopiganwa Ulaya waingereza walibakia washindi hata vita ya pili ya Dunia wajerumani waliapta pigo kubwa Sana walipoivamia uingereza
Tafuta kiongozi wa dini akufanyie maombi Kwa uelewa wangu kidogo wa maswala ya spirits wewe tayari umekumbwa na jini Tena jini la kike jini mahaba kati ya hao mademu uliokutana nao yupo ambaye hakua binadamu halisi Sasa Kwa tabia zako za kuwachanganya changanya tayari ameku sort kinachofuata...
Tafuta kiongozi wa dini akufanyie maombi Kwa uelewa wangu kidogo wa maswala ya spirits wewe tayari umekumbwa na jini Tena jini la kike jini mahaba kati ya hao mademu uliokutana nao yupo ambaye hakua binadamu halisi Sasa Kwa tabia zako za kuwachanganya changanya tayari ameku sort kinachofuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.