Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,648
- 6,409
- Thread starter
- #81
Sio naokota okota ujue
Sio naokota okota ujue
Me Nina uzoefu kila week nafi-ra miku-ndu ya wake kwa ume 😃😃😃😃😃😃Unauzoefu huo???
Ooh basi fresh mwananguMe Nina uzoefu kila week nafi-ra miku-ndu ya wake kwa ume 😃😃😃😃😃😃
Hili jambo nilidhani ni mimi tu napitia lakini nahisi ni kitu hakipo sawa ..... Nina nguvu za kiume,nasimamisha fresh ninafanya mazoezi lakini inafika hatua sioni hamu ya mapenzi kabisa wala sitamani kufanya mapenzi mpaka sasa nina mwaka 1 na miezi sita sijawahi fanya mapenzi na pia sina hamu ya tendo kuhusu lishe nazingatia sana ...tena sana maji sana .... Kila asubuhi uume lazima usimame kwa nguvu kabisa kunikumbusha kuwa mimi ni nani lakini sina hamu na tendo wakuu na sijichui wala ninit
Ila?Sio naokota okota ujue
Naopoa pini ka weweIla?
Kuna aliyekulazimisha uzitongoze? Au usipotongoza utakufaNaopoa pini ka wewe
Hapana hili ni jibu kutokana na swali lakoKuna aliyekulazimisha uzitongoze? Au usipotongoza utakufa
Tafuta kiongozi wa dini akufanyie maombi Kwa uelewa wangu kidogo wa maswala ya spirits wewe tayari umekumbwa na jini Tena jini la kike jini mahaba kati ya hao mademu uliokutana nao yupo ambaye hakua binadamu halisi Sasa Kwa tabia zako za kuwachanganya changanya tayari ameku sort kinachofuata kama hutaimbewa itakua taabu kabisaHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Tafuta kiongozi wa dini akufanyie maombi Kwa uelewa wangu kidogo wa maswala ya spirits wewe tayari umekumbwa na jini Tena jini la kike jini mahaba kati ya hao mademu uliokutana nao yupo ambaye hakua binadamu halisi Sasa Kwa tabia zako za kuwachanganya changanya tayari ameku sort kinachofuata kama hutaimbewa itakua taabu kabisaHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Tumia muhogo naz na parachichi utanishukurHabari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏
Mkuu hata mimi nina tatizo hiloNjoo kwangu nna tiba yako, seriously.
Njoo in boxing upate maelekezo buree utaleta mrejeshoVip wewe huna lolote???
Yupo busy akijichua...
Mnajichuaje na kei zakumwaga mazeyyy!Yupo busy akijichua...
Ngoja waje kuweka video kwa faida ya members...Mnajichuaje na kei zakumwaga mazeyyy!
Sema zinaa siyo tendo la ndoa.Habari zenyu wataalam,
Nakuja kwenu kuomba ushauri na msaada wa changamoto inayonikabili miezi karibu sita sasa.
Nimekua nikishiriki tendo la ndoa na mademu tofauti tofauti, katika utofauti huo nimekutana na viji mambo mambo ya hovyo hovyo pamoja ya hayo nimechukulia ni tofauti za kimaumbile na makuzi.
Nimepata changamoto za kiafya ikiwa ni UTi na infection zingine za bacteria wanaombukizwa kwa njia za kujamiiana, kwakua hua na pima HIV pekee kujiridhisha na kuacha kupima STDs.
Sasa kinachonitokea sasa hivi nikutokusikia radha ya tendo la ndoa kiasi ya kwamba nimeacha kuomba tendo la ndoa kwa wanawake zangu mpaka wao watakapo force saana.
Nnapoelekea sioni faida ya kua na wanawake wala kufanya tendo la ndoa zaidi ya kukuaa single labda kujichua kama nikizidiwa saana. Hivyo naona ni jambo la hatari kwa mustakabali wa baadae,
Hivyo naomba msaada wenu tatizo ni nini na ni nini tiba yake.
Natanguliza shukrani🙏