Ni kweli japo kuna watu wakishashika vijisenti wanafanya mambo ya ajabu, unakuta mtu kafunga cctv camera mpaka kwenye vyumba vya wafanyakazi au wageni anaangalia wanavyobadili nguo.
NB: Bado hii si sababu yenye uzito kuifanya serikali isajili private cctv.
Unadhani kwa kutumia maandiko kuna uwezekano kuwa MUNGU hakuumba bali alipangilia na kutengeneza kama binadamu anavyopangilia na kutengeneza nyumba kwa kutumia mawe na mchanga ambao hakuumba ila tafsiri ya uumbaji na utengenezaji ndo ikatuchanganya wakati wa kuitohoa kutoka kwenye lugha mama ya...
Ok Mkuu, Kwa hiyo MUNGU alikuwepo sehemu ambayo ilikuwa ni ukiwa na tupu huku pakiwa na giza na maji. Si ndio? Kama ndivyo hii sehemu ilitokana na uumbaji wa MUNGU? Kama ndiyo, it means kuna vitu vilikuwepo tu pasipo uumbaji right?
Nataka nijenge hoja kuwa je katika imani za kimaandiko, kuna...
Ulimwengu haujaumbwa na MUNGU umetokea tu out of nothing.
Ulimwengu umeumbwa na MUNGU ila MUNGU hajaumbwa ametokea tu out of nothing
Nothing>MUNGU>Ulimwengu.
Nothing>Ulimwengu.
Nothing ni nini? Maana hii nothing ndo limit ya kufikiri kwa binadamu. What is nothing?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.