Hapana. Not true. Nimekupa mfano wa mwanamke unayeishi nae bila viapo vya nyumba za ibada au serikali, ana dignity? Kama perception ya wengine inasema hana dignity sababu anaishi na kuzaa bila viapo vya ndoa does nature care?
Maadili ya kijamii yanayoleta dignity ni principle za mtu/watu sio...
Jamii ipi? Jamii yangu haimheshimu mwanamke anayeacha kifua wazi. Lakini kuna Jamii haioni tatizo. Mkuu, ndo maana nakwambia perception sio nature, nature ni universal but perception sio universal.
Ukifanya ngono unapata ujauzito, popote pale duniani, that's nature.
Usipoolewa huna dignity...
No boss, ingekuwa ni scenario ambayo ni possible. Sasa kulazimisha kuwa ingekuwa haiwezekani ndo kusimika maisha ya binadamu sasa kuwa fixed jambo ambalo si kweli.
Sasa dignity ndo inatengeneza respect. Huwezi sema jamii inakuheshimu halafu usiwe na dignity.
Ukiheshimiwa unaheshimika. Huwezi sema unaheshimika ila uheshimiwi.
Naomba urudie post #98. Niliedit nikakuuliza kuhusu Msigwa.
Ukitaka kujua ts just perception jiulize, chama cha siasa kingekuwa ajira rasmi ya kulipwa, Msigwa angeajiriwa ccm akaacha akarudi Chadema angepoteza dignity? NO, perception ya jamii, kuhama katika ajira haitazami kama jambo baya, linaitazama kama jambo la maslahi na kukuza CV but Perception ya...
Mkuu, tunapishana sehemu ndogo. Dignity sio nature ni perception. Nikutolee mfano wewe, umesema hujasain makaratasi, unaishi tu na mwanamke mna familia. Its your perception kuwa heshima ya mwanamke wako haipotezwi na viapo vya nyumba za ibada au serikali.
Sasa akija mtu mwenye perception...
Ok mkuu. Ondoa neno ndoa weka mfumo wa kuendeleza uzao. Nature haijali ni mfumo upi unatumika.
Hata tungerithi mfumo kuwa mwanamke anaolewa kipindi cha ujauzito tu mtoto akikua anaendelea na mambo yake na mwanamke mwenye dignity ni yule aliyeolewa mara nyingi hao waliozaa hovyo sasa hivi ndo...
Sio kweli kuwa nature alignment ya mwanamke ni purity-family-legacy.
Ndoa ni man made thing sio nature. Nature haijali mwanamke anazaa kwa kusign makaratasi au kwa kumpa yoyote anayeona anafaa kuzaa nae.
Jamii ingeweza kuwa na mfumo tofauti na dignity ingezaliwa humo sababu ni mwanadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.