Labda kununua gari used kwa jirani, rafiki, ndugu unayemfahamu. Yaani unajua kabisa huyu ni mtunzaji. Watanzania hatuwezi kutunza magari. Hatuna Pesa za utunzaji na tukiwa nazo hatuna skills za utunzaji na ukiwa na Pesa na skills unakuta huna muda. Ni wachache sana wenye vyote ndo maana gari...
Mpe tu, utafanyaje sasa na keshakuambia huna majukumu yeye ndo anayo na una wajibu wa kutatua?
Siku ukiwa na mke mwajiriwa, ana mshahara ila ukawa unamhudumia kwa kila kitu halafu ukimwambia akuazime kiasi kidogo cha fedha anasema hana utagundua rafiki yako alikuwa anakutukana kwa kukuuliza...
Watanzania wengi tunataka gari ambazo zinavumilia vipato vyetu. Sasa hizi Nissan ni tricky, kwenye ununuzi zina bei himilivu, kwenye utunzaji kama unajitafuta inakuumbua. Halafu kuna kasumba ya mafundi. Mtu hela anayo fundi mbovu au mwizi.
Murano, Xtrail, Dualis, Mazda X5 zote hizi kelele ni nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.