Wenyewe wanaelewana sababu wanaamini katika lugha moja, wewe huijui lugha ya imani yao ndo maana unaona ni kazi sana. Ukielewa lugha ya imani yao si kazi.
Bora ukalipa laki kwa mwanamke mkamalizana na uzinzi kuliko kuchezewa chezewa na watu hawajui nini cha kubinya nini cha kuacha uje kubinywa mshipa wa fahamu upate stroke. Zile sio therapy ni vituo vya kupandisha nyege ulipie huduma ya kuzishusha. Hakuna therapist mle Kuna wapindisha nyege.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.