Recent content by Tsh

  1. Tsh

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Hii Nchi ina mafundi wachache sana wa mjerumani. Wajaribu autotronic maeneo ya Bamaga. Nimetumia neno wajaribu, it means fanya uchunguzi kwanza mkuu.
  2. Tsh

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Ndo maana wakikaa wa imani moja wanaelewana tofauti na wewe usiyeamini katika wanaloamini.
  3. Tsh

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Wenyewe wanaelewana sababu wanaamini katika lugha moja, wewe huijui lugha ya imani yao ndo maana unaona ni kazi sana. Ukielewa lugha ya imani yao si kazi.
  4. Tsh

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Haha, Changamoto ni matumizi ya maji ya battery.
  5. Tsh

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Masikitiko.
  6. Tsh

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Aisee.
  7. Tsh

    JamiiForums Tanzania Anayejua location ya Body Massage ya bei chee aniambie, nataka kutoa ushamba na Ku relax pia

    Bora ukalipa laki kwa mwanamke mkamalizana na uzinzi kuliko kuchezewa chezewa na watu hawajui nini cha kubinya nini cha kuacha uje kubinywa mshipa wa fahamu upate stroke. Zile sio therapy ni vituo vya kupandisha nyege ulipie huduma ya kuzishusha. Hakuna therapist mle Kuna wapindisha nyege.
  8. Tsh

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Sijui ni bajeti. Wai.
  9. Tsh

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Nadhani wanataka kuokota okota wa bei rahisi wawape motisha Wakafie uwanjani wafike robo fainali then basi.
  10. Tsh

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Simba sioni kama tuna timu ya kuvimbiana na waarabu ambao wapo kwenye ubora.
  11. Tsh

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Haya si makalio, ni wowowo.
  12. Tsh

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Aisee. Sasa nakuelewa. Tuishie hapa.
  13. Tsh

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Embu elezea usahihi wa hizi taarifa zilizotufikia kupitia vyombo vya habari, tuambie porojo ni ipi na kwanini raisi aliagiza uchunguzi wa porojo.
  14. Tsh

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Kwamba yaongezwe au yawepo tu?
Back
Top Bottom