Recent content by Tsh

  1. Tsh

    JamiiForums Tanzania HOJA Mkopo unanitesa sana, si jambo rahisi kama wengi wanavyofikiria

    Pole sana, kama collateral si nyumba ya familia usilipe iuzwe utanunua nyingine.
  2. Tsh

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    Used ni njaa tu ndo inasababisha kuzinunua otherwise hakuna mtu anataka kukimbizana na mafundi hata wawe international. Sijui lakini.
  3. Tsh

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    Labda kununua gari used kwa jirani, rafiki, ndugu unayemfahamu. Yaani unajua kabisa huyu ni mtunzaji. Watanzania hatuwezi kutunza magari. Hatuna Pesa za utunzaji na tukiwa nazo hatuna skills za utunzaji na ukiwa na Pesa na skills unakuta huna muda. Ni wachache sana wenye vyote ndo maana gari...
  4. Tsh

    JamiiForums Tanzania Show-off za mjini zitawavua nguo

    Japo ni kama hadithi ila mke wa Kelvin naye ni lijinga sana.
  5. Tsh

    JamiiForums Tanzania Wanaume mliooa, hudumieni wake zenu msituletee usumbufu mtaani!

    Hahaha. Hii kali.
  6. Tsh

    JamiiForums Tanzania Hotel na Lodge zinazoweka saa nne muda kuachia vyumba kwa wateja wote ni wizi wakubwa

    Ukiingia saa 12:01 siku inapoanza? Unatoka saa 10:00 au 12:00?
  7. Tsh

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Hahaha
  8. Tsh

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu tunalipwa mshahara sawa lakini ananilazimisha nimkopeshe hela kisa mimi sina majukumu

    Mpe tu, utafanyaje sasa na keshakuambia huna majukumu yeye ndo anayo na una wajibu wa kutatua? Siku ukiwa na mke mwajiriwa, ana mshahara ila ukawa unamhudumia kwa kila kitu halafu ukimwambia akuazime kiasi kidogo cha fedha anasema hana utagundua rafiki yako alikuwa anakutukana kwa kukuuliza...
  9. Tsh

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Achana na ligi maana hata kina depu wanatosha, Naona kama Yanga Sasa hivi wanataka kufika mbali Club bingwa.
  10. Tsh

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

    Watanzania wengi tunataka gari ambazo zinavumilia vipato vyetu. Sasa hizi Nissan ni tricky, kwenye ununuzi zina bei himilivu, kwenye utunzaji kama unajitafuta inakuumbua. Halafu kuna kasumba ya mafundi. Mtu hela anayo fundi mbovu au mwizi. Murano, Xtrail, Dualis, Mazda X5 zote hizi kelele ni nyingi.
  11. Tsh

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Thats why binadamu ni smart mkuu. Anafuga badala ya kukimbizana nao kama Simba na fisi wanavyofanya. Mbona hilo liko wazi?
Back
Top Bottom