Recent content by Tsh

  1. Tsh

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Labda USA imenusa harufu la kuombwa misaada kufidia utumwa wa mababu.
  2. Tsh

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Hata ikiundwa tume ya kukichunguza, Kifo wala hakijali, kinakuja hivyo hivyo.
  3. Tsh

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Neno langu si sheria mkuu, huko alipoenda kama kuna ufahamu sidhani kama tunayoyatamka yana impact.
  4. Tsh

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Angekufa tu hata asingesema boss. Apumzike kwa amani.
  5. Tsh

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Angesema ataishi milele yangeumba?
  6. Tsh

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Ni kweli japo kuna watu wakishashika vijisenti wanafanya mambo ya ajabu, unakuta mtu kafunga cctv camera mpaka kwenye vyumba vya wafanyakazi au wageni anaangalia wanavyobadili nguo. NB: Bado hii si sababu yenye uzito kuifanya serikali isajili private cctv.
  7. Tsh

    Je, Mwanamke Hubeba DNA za Wanaume Wote Aliowahi Kulala Nao? Mtazamo wangu ni huu

    Hahaha, na wanawake wanajua saikolojia, wanaitumia kweli hizi tech. Ni kama ile ya kuambiwa unamridhisha kuliko mume wake.
  8. Tsh

    Mtu Mweusi Hakuumbwa na "Mungu Wake" Hadi Aabudu Mungu wa Wazungu, Wayahudi na Mungu wa Waarabu?

    Naelewa unachomaanisha boss. Unakataa ukristo na Uislamu.
  9. Tsh

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Unadhani kwa kutumia maandiko kuna uwezekano kuwa MUNGU hakuumba bali alipangilia na kutengeneza kama binadamu anavyopangilia na kutengeneza nyumba kwa kutumia mawe na mchanga ambao hakuumba ila tafsiri ya uumbaji na utengenezaji ndo ikatuchanganya wakati wa kuitohoa kutoka kwenye lugha mama ya...
  10. Tsh

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Ok Mkuu, Kwa hiyo MUNGU alikuwepo sehemu ambayo ilikuwa ni ukiwa na tupu huku pakiwa na giza na maji. Si ndio? Kama ndivyo hii sehemu ilitokana na uumbaji wa MUNGU? Kama ndiyo, it means kuna vitu vilikuwepo tu pasipo uumbaji right? Nataka nijenge hoja kuwa je katika imani za kimaandiko, kuna...
  11. Tsh

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Ulimwengu haujaumbwa na MUNGU umetokea tu out of nothing. Ulimwengu umeumbwa na MUNGU ila MUNGU hajaumbwa ametokea tu out of nothing Nothing>MUNGU>Ulimwengu. Nothing>Ulimwengu. Nothing ni nini? Maana hii nothing ndo limit ya kufikiri kwa binadamu. What is nothing?
  12. Tsh

    Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    Hahaha. Na tatizo la kuzoea mdomo kufanya kazi badala ya mikono ni viganja vinabaki vilainiii kama uji, mpaka vizoee mpini wa jembe sijui itakuaje.
Back
Top Bottom