Recent content by Tsh

  1. Tsh

    JamiiForums Tanzania Punguzeni kulalamika, acheni kazi!

    Hahaha, Pesa ujue tamu ni vile tu haupo jikoni.
  2. Tsh

    JamiiForums Tanzania Punguzeni kulalamika, acheni kazi!

    Ni sawa ila changamoto ni ukomo wa utatuzi wa malalamiko utaishia kwa waajiriwa pekee au hadi wapigakura? Yale ya kama hutaki hama nchi?
  3. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Hapana. Not true. Nimekupa mfano wa mwanamke unayeishi nae bila viapo vya nyumba za ibada au serikali, ana dignity? Kama perception ya wengine inasema hana dignity sababu anaishi na kuzaa bila viapo vya ndoa does nature care? Maadili ya kijamii yanayoleta dignity ni principle za mtu/watu sio...
  4. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Jamii ipi? Jamii yangu haimheshimu mwanamke anayeacha kifua wazi. Lakini kuna Jamii haioni tatizo. Mkuu, ndo maana nakwambia perception sio nature, nature ni universal but perception sio universal. Ukifanya ngono unapata ujauzito, popote pale duniani, that's nature. Usipoolewa huna dignity...
  5. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    No boss, ingekuwa ni scenario ambayo ni possible. Sasa kulazimisha kuwa ingekuwa haiwezekani ndo kusimika maisha ya binadamu sasa kuwa fixed jambo ambalo si kweli.
  6. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Sasa dignity ndo inatengeneza respect. Huwezi sema jamii inakuheshimu halafu usiwe na dignity. Ukiheshimiwa unaheshimika. Huwezi sema unaheshimika ila uheshimiwi. Naomba urudie post #98. Niliedit nikakuuliza kuhusu Msigwa.
  7. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Ukitaka kujua ts just perception jiulize, chama cha siasa kingekuwa ajira rasmi ya kulipwa, Msigwa angeajiriwa ccm akaacha akarudi Chadema angepoteza dignity? NO, perception ya jamii, kuhama katika ajira haitazami kama jambo baya, linaitazama kama jambo la maslahi na kukuza CV but Perception ya...
  8. Tsh

    JamiiForums Tanzania Binadamu ni wanyama. Ni Binadamu wachache ambao ni Watu. Haya ndio mambo yanayokuonyesha wewe ni MTU au mnyama

    Sema mada yako kijamii ina maana kubwa.
  9. Tsh

    JamiiForums Tanzania Binadamu ni wanyama. Ni Binadamu wachache ambao ni Watu. Haya ndio mambo yanayokuonyesha wewe ni MTU au mnyama

    Mtu ni mnyama, nature imemuweka kwenye kundi la wanyama na haijali.
  10. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Mkuu, tunapishana sehemu ndogo. Dignity sio nature ni perception. Nikutolee mfano wewe, umesema hujasain makaratasi, unaishi tu na mwanamke mna familia. Its your perception kuwa heshima ya mwanamke wako haipotezwi na viapo vya nyumba za ibada au serikali. Sasa akija mtu mwenye perception...
  11. Tsh

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kigumu duniani kama kukubaliana na ukweli

    Unakataa ukweli ilihali ndo uhuru wako.
  12. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Ok mkuu. Ondoa neno ndoa weka mfumo wa kuendeleza uzao. Nature haijali ni mfumo upi unatumika. Hata tungerithi mfumo kuwa mwanamke anaolewa kipindi cha ujauzito tu mtoto akikua anaendelea na mambo yake na mwanamke mwenye dignity ni yule aliyeolewa mara nyingi hao waliozaa hovyo sasa hivi ndo...
  13. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kumbaka mkeo?

    Watu wawili wenye viwango tofauti vya hamu ya tendo wakioana ni tabu sana. Hapo kuna mwanamke mwenzake analia hapati haki yake kila siku anapoihitaji.
  14. Tsh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Sio kweli kuwa nature alignment ya mwanamke ni purity-family-legacy. Ndoa ni man made thing sio nature. Nature haijali mwanamke anazaa kwa kusign makaratasi au kwa kumpa yoyote anayeona anafaa kuzaa nae. Jamii ingeweza kuwa na mfumo tofauti na dignity ingezaliwa humo sababu ni mwanadamu...
Back
Top Bottom